Maghufuli:Barabara ya Somanga ina mkosi

BONGOLALA

JF-Expert Member
Sep 14, 2009
16,509
11,881
Akizungumza bungeni muda huu anasema ujenzi wa km 7 umekua na matatizo,Kila mwenye kampuni ya ujenzi pale anakufa.Yeye mwenyewe kanusurika na ajali ya helikopta akitaka kwenda somanga kukagua.Ikumbukwe barabara hii ilianza kujengwa tangu enzi za Rais Mwinyi mpaka leo haijaisha
 
Kwani mbona daraja la rufiji waliweza kulijenga jamani richa ya kujaa uchawi wa kila aina? watumalizie barabara yetu jamani nasi twende nyumbani kwa amani misimu yote ya mwaka, masika na kiangazi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom