Recent content by Mushka

  1. Mushka

    JamiiForums Tanzania Nampenda Mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege.

    Nakuelewa sana kuliko huyo mwakasege,kyala akusaje kalumbu
  2. Mushka

    JamiiForums Tanzania OSIRAK: Mungu wa wafu mikononi mwa Makomando wa Israel

    Duuh! Kweli jf ndiyo beam
  3. Mushka

    JamiiForums Tanzania OSIRAK: Mungu wa wafu mikononi mwa Makomando wa Israel

    Heshima kwako mkuu,ila Usisahau kunitag kwenye muendelezo
  4. Mushka

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday: Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi mmoja, siku moja na wewe

    Pa1 sana 24 nov
  5. Mushka

    JamiiForums Tanzania Natufuta mke mwenye VVU

    Nimepima tangu 2012 natumia dawa vizuri yaani niko fiti kiasi kwamba ningetaka kuoa mtu yeyote inawezekana
  6. Mushka

    JamiiForums Tanzania Natufuta mke mwenye VVU

    Nawashukuru sana wote mliyonitia moyo mbarikiwe sana
  7. Mushka

    JamiiForums Tanzania Natufuta mke mwenye VVU

    Asante ndugu
  8. Mushka

    JamiiForums Tanzania Natufuta mke mwenye VVU

    Wadau habari zenu, Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 31, nimepima afya na kukutwa nina maambukizi ya VVU.Natafuta mke wa kuoa mwenye maambukizi kama mm ili tuishi kwa matumaini. Sina masihara katika jambo hili, mimi ni mkristo na ningependa apatikane mkristo mwenzangu ili kusiwe na vikwazo...
  9. Mushka

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke muathirika wa VVU

    Wadau poleni na majukumu. Mimi ni mwanaume umri miaka 31 naishi dar nimeathirika na vvu. Hivyo natafuta mke mwenye vvu ili tuishi kwa matumaini. Nimetafakari muda wa kuoa umefika.Nina afya njema sana yeyote mwenye nia ya dhati ani pm
  10. Mushka

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam: Mbaroni kwa mapenzi ya jinsia moja

    Huyo mauwa ni mzoefu wa kuwasaga wenzie hata wolper anajua mziki wake na amemuhonga cm kibao. Huyo ndo mau a.k.a uncle Moore
  11. Mushka

    JamiiForums Tanzania Shamba linauzwa lipo kigamboni kimbiji lina ukubwa wa ekari 4,kila ekari inauzwa tsh 7mil

    Shamba linauzwa kimbiji
  12. Mushka

    JamiiForums Tanzania Hotel karibu na uwanja wa ndege

    Kuna fq motel jirani na transit motel ya airport chumba ni elf 70
  13. Mushka

    JamiiForums Tanzania PSPF, TRA, LAPF, TPA, GPSA Wanaongoza kwa udini

    Fani yenu ni kujilipua jilipueni nasi tuwa guantanamo
  14. Mushka

    JamiiForums Tanzania PSPF, TRA, LAPF, TPA, GPSA Wanaongoza kwa udini

    Mnasoma uchawi badala ya elimu
  15. Mushka

    JamiiForums Tanzania PSPF, TRA, LAPF, TPA, GPSA Wanaongoza kwa udini

    Mimi ni muislam pure ila ukweli ni kwamba cc mujahedina hatuna elimu.
Back
Top Bottom