Natufuta mke mwenye VVU

Natufuta mke mwenye VVU

Hongera mkuu kwa huo ujasiri..pia naamini utakuwa umeokoa roho nyingi sana za watu kwa huu uamuzi uliochukia..nakutakia kila la kheri..Mwenyezi Mungu akutimizie haja ya moyo wako
 
Haya ndo masihara ambayo mtoa uzi kasisitiza kuwa hayataki..sifa gani unazoziongelea ww??

sio maskhara cuttie,, asa kama kule kuchkua arv hua tunaenda wote wanaume kwa wanawake kwanin jamaa asitafutie uko uko,,, point ya kujitangaza apa ni ipi? nway ucjal na me akil yng ndo imeishia hapo!!
 
Wewe pipa taka bora usibishane na mimi. Utapata mapunye ya sehemu za siri ubadilishwe jinsia.... najua utafurahi sana.

unyanyapaa sio ishu. ni ujinga uliopitiliza.

come again

u didnt get my point bwashee!!
 
sio maskhara cuttie,, asa kama kule kuchkua arv hua tunaenda wote wanaume kwa wanawake kwanin jamaa asitafutie uko uko,,, point ya kujitangaza apa ni ipi? nway ucjal na me akil yng ndo imeishia hapo!!

Mind your language mkuu..Mi ni mwanaume rijali...sio cuttie..kwani akimpata hapa kuna tatizo gani??
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Pole sana na hongera kwa roho ya kibinadamu. Kuna baadhi ya wanawake wenye hali kama yako waliweka tangazo kama lako. Hebu jaribu kuyatafuta matangazo hayo humu. Kila la heri Mkuu.
 
sio maskhara cuttie,, asa kama kule kuchkua arv hua tunaenda wote wanaume kwa wanawake kwanin jamaa asitafutie uko uko,,, point ya kujitangaza apa ni ipi? nway ucjal na me akil yng ndo imeishia hapo!!

Na kama hajaona anayemfaa kule??? Katima maisha yako epuka kukurupuka na kufikiria upande mmoja usiwe kama mnyama.. Watu wanaotangaza kutafuta wachumba humu ina maana mtaani wameisha???? Epuka unyanyapaaa hata kama jamaa ndio anatafuta sifa fikiria pia ametoa somo kwa wengi humu..!! Epuka unyanyapaaa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Na kama hajaona anayemfaa kule??? Katima maisha yako epuka kukurupuka na kufikiria upande mmoja usiwe kama mnyama.. Watu wanaotangaza kutafuta wachumba humu ina maana mtaani wameisha???? Epuka unyanyapaaa hata kama jamaa ndio anatafuta sifa fikiria pia ametoa somo kwa wengi humu..!! Epuka unyanyapaaa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

ujue uyu jamaa namfaham saaaana,, apa amekaa anakuchek unavomtetea anacheka sn!! kumbe kwel wapambe hua ni wakal kuliko mwenye mali doooh! mimi sio mnyanyapaa ndugu ni bas tu umenisoma kiupambe upambe
 
Naona umeamua kuishi maisha ya ushindi mkuu...

Kila la kheri katika malengo yako ya kutafuta mwenza...

Bila shaka utampata...
 
Ikisimama panda ana hoja hapa japo mnamponda!..kuna watu wanafanya tafiti zao humu! Any way sio mbaya endeleeni kuchangia huyo mtafiti wa kiwango cha unyanyapaa
 
amini utampata mwenye uhitaji na utayari kama wako...kila lililojema mkuu
 
Mie naweza kukusaidia na sitanii namaanisha piga hii No 0718871932 usipuuzie
 
umepima toka lini na madawa umeshaanza? Kama ndio una muda gani toka uanze kuyatumia

Nimepima tangu 2012 natumia dawa vizuri yaani niko fiti kiasi kwamba ningetaka kuoa mtu yeyote inawezekana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom