naombeni anayefahamu anijuze ni wapi wanauza SIGNAL FINDER kwa ajili ya kufungia madish hapa jijini dar es salaam na bei yake kama inafahamika ... asanteni
kuna shule ya serikali inaitwa KIROMO ipo BAGAMOYO mwaka jana imekuwa ya kwanza kwa shule za kata wilaya ya bagamoyo ....wana hosteli unalipia chakula 320000 tuu
TUTAFAKARI PAMOJA KUHUSU SUKARI
tangu kuwepo kwa dunia hii, kumekuwepo au kupita kwa mifumo mbali mbali ya kiuchumi, kisiasa na kiutawala. lakini katika kupita huko kwa dunia katika vipindi mbalimbali dunia haikuwahi kulandana kabisa, namaanisha kwamba wakati jamii fulani ilipokuwa kwenye mfumo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.