Habari za saa hizi?
Sisi wakazi wa Kihonda-Morogoro tunaomba mamlaka husika iondoe Jalala au Dampo lililowekwa na Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro katika eneo la Kihonda Kaskazini mtaa wa Azimio, miti mirefu. Jitihada zilifanyika kwa kuwasilisha malalamiko katika serikali za mitaa japo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.