Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,248
- 6,264
Kuna ile ya mingumi ya ST Sport Arena. Noma sana, sema saiz siangalii nimehamia kwa demu huku hakuna iyo kitu. 🤣🤣🤣🤣
..murder calls, disappear, home alone, swamp murders..Investigation Discovery, hua ina addiction sana na yale mambo yao...Mara Death Chose Me, The blood family, Bridal Killer..ukitazama sana unaweza ukawa mwehu, trust me!
"Umehamia kwa demu"..hapa umemaanisha nini??Kuna ile ya mingumi ya ST Sport Arena. Noma sana, sema saiz siangalii nimehamia kwa demu huku hakuna iyo kitu.
Kuna siku nilitazama moja usiku kuanzia saa nane nane..kwa bahati mbaya sikufunga mageti, asee wakati nikienda kufunga kila nikisogea mlangoni najiona kwenye kiooo aisee kidogo nife kwa pressure..nahisi kuna snipper ananichungulia kwa mbaaliii...
HahahahahahaKuna siku nilitazama moja usiku kuanzia saa nane nane..kwa bahati mbaya sikufunga mageti, asee wakati nikienda kufunga kila nikisogea mlangoni najiona kwenye kiooo aisee kidogo nife kwa pressure..nahisi kuna snipper ananichungulia kwa mbaaliii...
Kwasie tunaolipia mara 1 kwa miezi 6, ST GUIDE ndo kimbilio letu.
Asante.
Murder calls, the perfect murder, betrayed, evil lives here...Investigation Discovery, hua ina addiction sana na yale mambo yao...Mara Death Chose Me, The blood family, Bridal Killer..ukitazama sana unaweza ukawa mwehu, trust me!
Ulisha wahi kuangalia NASA?Investigation Discovery, hua ina addiction sana na yale mambo yao...Mara Death Chose Me, The blood family, Bridal Killer..ukitazama sana unaweza ukawa mwehu, trust me!
Ghost of Shepherds town..ungeangalia hii nafikiri ungezimia kabisa. Kabla ya hapo huwa wanaanza na evil lives here.Kuna siku nilitazama moja usiku kuanzia saa nane nane..kwa bahati mbaya sikufunga mageti, asee wakati nikienda kufunga kila nikisogea mlangoni najiona kwenye kiooo aisee kidogo nife kwa pressure..nahisi kuna snipper ananichungulia kwa mbaaliii...
Kweli kbsIla Startimes dishi wako clear sana...yaani HD ya ukweli..nilishatumia awali...ila hawa Azam mmmh japo nimeunga waya wa HDMI lakini ni kwa baadhi ya channel ndio angalau..mfano Azam sports HD..lakini nyingine kawaida.
Ipo wazee wa Tangamano