Jalala katikati ya barabara ya mtaa

musangano

Senior Member
Nov 17, 2012
138
76
Habari za saa hizi?

Sisi wakazi wa Kihonda-Morogoro tunaomba mamlaka husika iondoe Jalala au Dampo lililowekwa na Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro katika eneo la Kihonda Kaskazini mtaa wa Azimio, miti mirefu. Jitihada zilifanyika kwa kuwasilisha malalamiko katika serikali za mitaa japo ziligonga ukuta.

IMG-20210404-WA0031.jpg
 
Back
Top Bottom