musangano
Senior Member
- Nov 17, 2012
- 138
- 76
Habari za saa hizi?
Sisi wakazi wa Kihonda-Morogoro tunaomba mamlaka husika iondoe Jalala au Dampo lililowekwa na Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro katika eneo la Kihonda Kaskazini mtaa wa Azimio, miti mirefu. Jitihada zilifanyika kwa kuwasilisha malalamiko katika serikali za mitaa japo ziligonga ukuta.
Sisi wakazi wa Kihonda-Morogoro tunaomba mamlaka husika iondoe Jalala au Dampo lililowekwa na Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro katika eneo la Kihonda Kaskazini mtaa wa Azimio, miti mirefu. Jitihada zilifanyika kwa kuwasilisha malalamiko katika serikali za mitaa japo ziligonga ukuta.