Mambo vipi wadau! 👋 Nimepata dili za mikopo ya FAFSA na sasa niko kwenye mchakato wa kuchagua akaunti nzuri ya benki (student checking account) kwa ajili ya kupokea hizi hela. Natafuta benki yenye huduma nzuri, isiyo na usumbufu, na inayofaa kwa mwanafunzi. Mnatumia benki gani ambazo hazina...
Habari zenu! Mimi ni Mwalimu wa Kiingereza (English & Literature Teacher) kutoka Kenya, mwenye usajili wa TSC na Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education).
Natafuta fursa ya kufundisha nchini Tanzania na niko tayari kuhamia (relocate) mara moja nafasi itakapopatikana.
Sifa zangu kwa ufupi:
•📑...
Billionaire Aliko Dangote alichagua Kenya kwa sababu ya miundombinu bora, soko kubwa la mafuta, na bandari ya asili yenye kina kirefu kule Lamu. Uamuzi huu ulifikiwa baada ya ushindani mkubwa Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.