Sizani kama kuna mazao yanayivumilia ukame angali miti ambayo inasitawi mwaka mzima hata kipindi cha ukame inakufa kwa ukame, nakumbuka enzi za mweshimiwa JK kulitokea na njaa kama hivi na aliwasaidia wananchi kwa kuwagawia mahindi, Leo mweshimiwa rais asisaidie wananchi waliomuweka madarakani...
Mke wangu alikuwa na ujauzito wa miezi 8 lakini cha kushangaza ilitokea tarehe 26 December akaanza kutokwa damu tu na tumbo kumuuma sana ndipo tulipoenda hospital kupata msaada ila sikuamini masikio yangu nilipoambiwa na doctor kuwa mtoto kafia tumbon ndipo doctor alifanya utaratibu wa kumtoa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.