Recent content by Mulyambange

  1. M

    Msimvimbisheni kichwa Mwingira, hana uwezo wa kupambana na Serikali

    BROO UNA MALIZA NGUVU BURE WANAOKUBISHIA WENGI WAO WASUKUMA AMBAO WANAJIVIKA KITAMBAAA HAWAONI YALIYOFANYIKA
  2. M

    Kutoteua Bodi ya NBAA hadi leo ni uzembe au dharau za Mwigulu Nchemba

    RAIS amateua mwenyekiti wa BOARD ya NBAA (T) NI karibia miezi 2 sasa. ILA MWIGULU hajateua Wajumbe mpaka sasa swali wake mwingulu ni dharau kwa mamlaka za uteuzi au anasubiria mpaka wapatikane wale wa lile kabila km walivyozoea kipindi cha shujaaa wa africa MADHARA YANATOKANAYO NA...
  3. M

    National Board of Accountants and Auditors Tanzania (NBAA) Tanzania kila muda ukiisha huchelewa kuteuliwa nyingine

    National Board of Accountants and Auditors Tanzania ina bodi ambayo huteuliwa na Rais wa Nchi. Kwa bahati mbaya sana imekuwa kawaida sasa kila ikimaliza muda huchelewa kuteuliwa nyingne na hiii imekuwa ikichelewesha kutolewa kwa matokeo yake ya mitihani husika. Kwa mfano mwaka 2017 na 2018 Bodi...
  4. M

    Nahitaji kusoma CPA

    CPA HAISOMWI cpa ni cheti cha utambulisho Ndo mana hata mitihani inaandikwa NBAA EXAMS haiandikwi CPA EXAMS anzia hapo kwanza kujua unasoma nn ? Ukielewa hivyo omba ushauri sasa
  5. M

    Ufafanuzi kuhusu Kampala International University Dar es salaam Campus

    usijiroge kwenda hicho chuo atajuta hilo lichuo walimu waliopo hawajui chochote mfano mzuri kuna mwalimu ambaye anajiita phd holder anafundisha accounts ila hata definition ya financial accounts hajui, then wanafunzi ni mwanzo mwisho kuhonga na kuiba paper km paper usimshauri kwenda mm nalijua...
  6. M

    Mama Anna Mgwira akana uvumi unaoenea kuwa kaachana na Siasa...

    Ww mbona unabadili wachumba uchao
  7. M

    Nimrod Mkono:Nimechukuliwa mali zangu ila nashukuru, TRA wangeweza kunifunga

    Hata simuelewi anasema nn Fisadi had kwa maongez tu anaonekana
  8. M

    Hua nikikumbuka hiki kitu hua makosa jibu, CCM kweli kubalini mlizidiwa.

    Lowasa n mabadiliko na manadiliko n lowasa kauli mbio ya ukawa na ccm hapa kazi tu Ipi inataja jina la mtu na ipi inamfanya mgombea kuwa yy ndo yy bila yy hakuna chochote
  9. M

    Rais Paul Kagame ndie Rais bora kwa sasa

    Ww mshikaj hv km jera wanakura wali utaenda Lisa wanapata mahtaji yote
  10. M

    Rais Paul Kagame ndie Rais bora kwa sasa

    Huwez msema Kagame popote Rwanda ukawa salama
  11. M

    Rais Paul Kagame ndie Rais bora kwa sasa

    Km hujafika Rwanda nnayosema huwez elewa
  12. M

    Rais Paul Kagame ndie Rais bora kwa sasa

    Shetan haiingii kikao cha malaika ndo manake hiyo
  13. M

    Rais Paul Kagame ndie Rais bora kwa sasa

    Kiongozi mzuri ashingeshindwa kuhudhuria mazishi ya Mandela wala nyerere Rwanda si nchi kwa sasa n gereza huwez sema chochote
  14. M

    Rais Paul Kagame ndie Rais bora kwa sasa

    Huyu ndie dikiteta bora
  15. M

    Mtela Mwampamba jipime!

    Chadema na neno usaliti bila kujua mana ya neno usaliti
Back
Top Bottom