MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,752
- 5,497
Kwa hbr yenyewe inaonyesha hadi kodi ya mishahara, kama analipa mishara kodi haikatwi, hii inauhusiano gani na deni analodaiwa.Jamani hiyo mzee ana kampuni. Na akifanya kazi ya serikali inabidi alipwe ili aweze kulipa wafanyakazi, kula na kulipa kodi. Ka hakalipwa B saba atawezaje kulipa kodi ya B moja? Unawezaje kusema hakuna uhusiano kati ya deni na kodi? Serikali pia iwe inalipa madeni yake.Sometimes I doubt if we are really making making genuine comments!