Recent content by Mulunga

  1. Mulunga

    Mahakama yasogeza mbele kesi ya mauaji ya watoto Njombe

    Kama hao ndio watuhumiwa sioni haja ya kuchukua muda mrefu sana ktk uchunguzi tuwe kama wakorea MTU ukipatikana na kosa hakuna kupoteza muda hukumu on the time Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Mulunga

    Usajili wa wachezaji wa Simba ulivyotikisa na matokeo ya sasa

    Mpira unahitaji Muda na malengo ya muda mrefu huwezi kupata mafanikio ya haraka hivyo simba tumeanza hatukati tamaa kipigo ni kawaida ktk Mpira Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Mulunga

    TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

    Hakuna kitu kisicho na changamoto pamoja na mambo mazuri Rekebisheni yafuatayo, 1.Mpira ni ajira tafadhari tuonyesheni Mpira tunazidiwa na ZBC Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Mulunga

    Hodii

    nawashukuru member
  5. Mulunga

    Rais Magufuli si rafiki wa vyombo vya habari

    Tuwe wakweli bana maswali mengine hayana msingi mwandishi unatakiwa kuwa creative usiulize maswali yasiyo na maana ndio maana wakimpata mtu makini wanaishia kulalamika
  6. Mulunga

    Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

    Zamani bright guy walikuwa wanasoma dip 3 year kama ilivyo kuwa kwa bright std 7 walikuwa wanasoma miaka4
  7. Mulunga

    Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

    Ufaulu gani kama hakufauru angefika hapo
  8. Mulunga

    Kikwete ashikwa

    sawa bwana hata mimi nimeshikwa leo
  9. Mulunga

    GUYS BE WARNED!!

    very terrible
  10. Mulunga

    Utani mwingine bhana!!!

    mbona hakuna maana rudia
  11. Mulunga

    Mke wa mtu

    movie steering nani
  12. Mulunga

    Nimechekajeeeee

    iko well
  13. Mulunga

    Msikie huyu kilaza wa darasa

    kweli weweni cow
  14. Mulunga

    Osama bin Laden yupo hai, ukweli ndio huu

    Hiii ni Kali kweli tunahitaji mwenye uthibitisho zaidi tusilumbane leteni evidence kama kweli you hai au dead
Back
Top Bottom