Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,927
- 22,076
Lisemwalo lipo kama halipo.....
IKULU YAKANUSHA MADAI YA GAZETI LA DIRA YA MTANZANIA.
MICHUZI BLOG: MADAI YA GAZETI LA DIRA YA MTANZANIA
Lisemwalo lipo kama halipo.....
IKULU YAKANUSHA MADAI YA GAZETI LA DIRA YA MTANZANIA.
MICHUZI BLOG: MADAI YA GAZETI LA DIRA YA MTANZANIA
mPWA IPO SIKU TUTAANDAMANA.SABABU YAKE NASIKITIKA WALE MAFALA TRA WANAONDOKA.KISA VIMEMO ALAFU AWASEMI UKWELII..Mpwa huyo sijui alikuwa anapewa mabilion mangapi ktk kupitisha kwake hizo kontena 800
Hao huko self hawa stahili hata kupewa godoro la kulalia
Nilitaka kuonyesha kuwa hii kitu ni tangu siku nyingi inazungumziwa, na sasa majambo yanaanza kuwa hadharani. Angalia comments za wanafiki katika blog ya michuziMkuu kotelyimola mbona hizo link ulizoweka ni za habari ya May 7, 2012?
loh hio gazeti la leo waambien.na.ikulu wakanushe..lisemwalo lipo kama halipo.....
ikulu yakanusha madai ya gazeti la dira ya mtanzania.
michuzi blog: Madai ya gazeti la dira ya mtanzania
Nilitaka kuonyesha kuwa hii kitu ni tangu siku nyingi inazungumziwa, na sasa majambo yanaanza kuwa hadharani. Angalia comments za wanafiki katika blog ya michuzi