Recent content by mullaX

  1. mullaX

    Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

    Zainab Tamim please nipatie namba za wakala wa Mwanza.
  2. mullaX

    Je, ni vema kumuoa mwanamke asiye na bikra katika misingi ya dini?

    Suala la kuowa au kuolewa na mtu aliweha kufanya mapenzi eti ana agano la damu la kudum sio kweli. Mbona mitume na manabii na hata watu wa zamani walikua wanaowa wake wengi....agano hapo lipo wapi? Kama wewe sio bikra huna haja ya kudai bikra ndo umuoe. Tukizungumzia misingi ya dini...
  3. mullaX

    Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

    Niko Mwanza, wakala wenu wa huku mama Alex ameniambia kaishiwa kwa hiyo niagize huko kwako. Kama kuna wakala mwingine Mwanza nipatie mawasiliano yake. Zainab Tamim
  4. mullaX

    Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana

    Aunt Zainab hata simu hupokei ni shida tu. Nipe gharama za utumaji otherwise nimuagize my workmate anitumie kwa courier wa ofisi yao.... Zainab Tamim
  5. mullaX

    TANZIA: Ismail H. Kimungu afariki dunia

    May his soul rest in the right place.
  6. mullaX

    Baraza la Mawaziri kusheheni wabunge wa kuteuliwa na Rais

    Kwani wewe ni nani hata tuamini maneno yako.
  7. mullaX

    Harvard Islamic Law Librarian Arrested for Sex Crime...

    So Ishmael unatufundisha nini? Kwani ni malaika huyo hata asifanye makosa. So far sio shekhe ye ni mkutubi (librarian) tu au sababu wa dini ileeeeeeee Acha udini na chuki dhidi ya dini zingine.....huna unachofaidika.
  8. mullaX

    Mtoto wa Kiarabu

    Njoo nikupe wangu bi Kulthoom, raha yake akupende mwenyewe tu otherwise utasanda. Mi najilia vyangu tu mtoto anataka mwenyewe.... Kuna chalii angu mmoja anashangaa hivi naanzaje kumvua yale mahijabu
  9. mullaX

    Mfanyakazi mwenzangu anataka tuchepuke ofisini

    I got nothing to tell you buddy, u got each and every evidence...hold on. But remember wewe ni mwanaume.
  10. mullaX

    Nimekutana naye kwa mganga wa kienyeji.Je anafaa kuwa mke?

    Quran 24:3 mwenye nayo asome. Asiye nayo google quran 24:3
  11. mullaX

    Ni mimi au binti ndo mwenye matatizo?

    Una kihere here kweli
  12. mullaX

    Atakayeweza Swali Hili La "complex Number'' Adv Math

    Hyperbolic function au Complex Numbers? Kwanza kitambo sana, nshasahau. Vitu vingine duniani havina application katika maisha.
  13. mullaX

    Mwezi mchanga na uchizi! Je ukweli ni upi?

    Hizi mambo wanatuficha ficha tu. Waislamu wana elimu ya nyota au nujuum kwa Kiarabu lakini elimu hii ni marufuku mtu kujifunza (ni dhambi) Kuna ustadh mmoja aliwahi kuniambia pia kila siku ina nyota yake hivyo hivyo. Na mind zetu zinafuata hizo nyota mfano, j tatu ni moon... siku ya biashara...
  14. mullaX

    Uzi Maalumu: Wafanyakazi wa Benki (wanachokijua, changamoto za kazi yao na nafasi yao kijamii)

    We jamaa nakukumbuka sana, uko benki fulani yenye asili ya Kenya.....bahati nzuri nilishahama benki yenu hiyo. Ulipangwa branch gani?
  15. mullaX

    Uzi Maalumu: Wafanyakazi wa Benki (wanachokijua, changamoto za kazi yao na nafasi yao kijamii)

    Naipenda kazi yangu tena sana tu, though mimi ni mtu wa sales abd marketing ila nafaham nini wale wenzangu wa ndani wanafanya. Kufanyia nje ni raha, ntaaga naenda kwa wateja kumbe niko kwenye deal zangu. Mke atakaenizalia mtoto hivi karibuni nilimpata benki pale pale kituo changu cha kazi...
Back
Top Bottom