Ni mimi au binti ndo mwenye matatizo?

Ni mimi au binti ndo mwenye matatizo?

yaani maniuzi huyo na matusi yake kuwatukana yaan kanichafua Roho.lugha yenu nimeipenda kwakweli halafu mnatusema humuhumu mchana kweupe


Ha ha ha ha 😊 tulikua tunamsema alietutukana eti sio nyie wote jamani
 
Watu waongeaji xn huwajuaga kutofautsha kati ya mpnz na rafiki, wao huongea na wapenz km wanaongea na marafiki zao..hawapo romantic kabisa..huh
Ujuwaji sio sehem yake
 
Nahisi sio kila kitu unajua kwa sababu hakuna binadamu anayejua kila kitu, kuthibitisha hili ni apo ulipotuuliza hili swali ili tukupe mawazo yetu. Anza kwanza kurekebisha apo kwenye ujuaji wa KILA KITU alafu mengine yatafuata
 
Hata mim sivutiw na m'ume wa typ yako, na ningekuacha mapema tu
 
Ahca uut ah ah ah adnipijak ilewk aregnoh ekay

Gninrom, adum aw tnemmoc okay inahdatu aynafanu izak ay iznilu?


Uukm kadoro idihatijema awk ilewk, odn anaam amesan ailagnaiku awk inikam aweleanu atsaf.
 
Last edited by a moderator:
Tafuta hela dogo acha kuongea ongea km kasuku, hakuna mwanamke siku hizi anaetaka maneno maneno, watu wanataka pesa tu! Utaishia kuporwa mademu zako kila cku
 
Watu waaina hii uwa mnapenda sana promo na huwa mnaboa ila hamjuagi tuu na lazma utakua mfupi kwa kimo.
 
Gninrom, adum aw tnemmoc okay inahdatu aynafanu izak ay iznilu?


Uukm kadoro idihatijema awk ilewk, odn anaam amesan ailagnaiku awk inikam aweleanu atsaf.


Ah ha ha haaaa em ois iznilm in isab ut anaj asokilin izignisu oidn anaam
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom