Jamani kuna wimbo unaitwa uchona wa deo mwanambilimbi...na kuna wimbo fulani ulikua unapigwa kila siku jioni kabla ya habari redio tanzania miaka ya tisini...ni wimbo wa lingala ila chorus yake ilikua ina maneno" kata kanyama*2"
#babu seya na wanawe....
1. Binti wa miaka 16.
2. Anasoma form 6.
3. Anakitambulisho cha mpiga kura...
4. Amebakwa eneo la wazi kwa masaa yasiyo pungua 6
JAMANI HATA KAMA MNAENDA KUMFUNGA BWANA AFANDE JARIBU KUANGALIA SUALA HILI UPYA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.