Tusikubali Ethiopia walete ndege zao hapa nchini, wataua soko la ndege zetu

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Wakuu,

Sisi bado tunajikongoja kwenye usafiri wa anga. Inavyoonekana hawa Ethiopia wanataka kutushusha chini na kutudidimiza tusiinuke.

Baada ya sisi kununua ndege Tatu, wao wameamua kufanya sifa nankuonesha ubabe wao. Sasa ili kuwakomesha, tupige marufuku ndege zao Bombadier Q400 kufanya biashara nchini mwetu,vinginevyo tutalia.

Ndege tatu tu makelele kibaoo... Hata tunaanza kuondoleana utaifa na uzalendo.. Hawa wakija tusilaumiane.

Shirika la Ndege la [HASHTAG]#Ethiopia[/HASHTAG] (Ethiopian Airlines), limetangaza kununua ndege 10 aina ya Bombadier Q400, kwa gharama ya USD 332, lengo likiwa ni kupanua soko lake barani Afrika.

Ndege hizo zimelengwa kwenda katika maeneo ambayo viwanja vyake haviwezi kuhimili ndege kubwa.
 
unipandishe diabomba mpaka ethiopia si itakuwa hekaheka njian! Dar - Mwanza tu imekuwa shughuli midude inazimazima kiruuuuuu
 
Sio Rahisi Kama Uendeshaji was Daladala ! Luna sheria za Umoja was Mataifa zinawalinda
 
Sio Rahisi Kama Uendeshaji wa Daladala,kwamba utakataza tuu watu kwa sababu we we unataka kunyanyua Airline yako mpya ! Kuna sheria za Umoja wa Mataifa kupitia ICAO zinawalinda, USAFIRI WA ANGA UKO ORGANIZED KUPITA MAELEZO
 
Wakuu,

Sisi bado tunajikongoja kwenye usafiri wa anga. Inavyoonekana hawa Ethiopia wanataka kutushusha chini na kutudidimiza tusiinuke.

Baada ya sisi kununua ndege Tatu, wao wameamua kufanya sifa nankuonesha ubabe wao. Sasa ili kuwakomesha, tupige marufuku ndege zao Bombadier Q400 kufanya biashara nchini mwetu,vinginevyo tutalia.

Ndege tatu tu makelele kibaoo... Hata tunaanza kuondoleana utaifa na uzalendo.. Hawa wakija tusilaumiane.

Shirika la Ndege la [HASHTAG]#Ethiopia[/HASHTAG] (Ethiopian Airlines), limetangaza kununua ndege 10 aina ya Bombadier Q400, kwa gharama ya USD 332, lengo likiwa ni kupanua soko lake barani Afrika.

Ndege hizo zimelengwa kwenda katika maeneo ambayo viwanja vyake haviwezi kuhimili ndege kubwa.
 
Mmb binafsi nafikiri itakuwa vizuri, zote ni ndege wapambane kuvutia wateja ss tupate unafuu wa bei na uduma bora.

Tunaogopa nini? Kwani zao zinatumia maji zetu Mafuta?
Tufurahi tujifunze kutoka kwao vile wanaendesha shirika na pia wapo juu kuliko ss ktk swala hilo.

Cku zote Tz tunakosea hapo watu kama hawa ni muhimu kwa Taifa kwani Tutapata mapato,Ajira, Uduma bora na nafuu.
 
Mmb binafsi nafikiri itakuwa vizuri, zote ni ndege wapambane kuvutia wateja ss tupate unafuu wa bei na uduma bora.

Tunaogopa nini? Kwani zao zinatumia maji zetu Mafuta?
Tufurahi tujifunze kutoka kwao vile wanaendesha shirika na pia wapo juu kuliko ss ktk swala hilo.

Cku zote Tz tunakosea hapo watu kama hawa ni muhimu kwa Taifa kwani Tutapata mapato,Ajira, Uduma bora na nafuu.
Bora umesema mkuu maana kama utaziogopa changamoto zilizoko katika biashara basi wewe utakua sio mfanya biashara


Uoga wako ndio umasikini wako
 
Makampuni mengi duniani yanaungana ili kuleta ufanisi zaidi na huduma bora kila sehemu
Hata wakisema wanaleta na kampuni ya mabasi yao sawa tu
Biashara ya ndege sio masikhara
Waache waje tu hawazui biashara
Kama tutajipanga vizuri tutafika
Lakini tukianza kujihujumu wenyewe hapo ndio tatizo lipo
 
Back
Top Bottom