Magufuli apewe heshima yake. Kikwete hamna kitu. Kwanza amezidiwa hadi na Samia Suluhu kwenye swala la maendeleo. Kikwete was more of a strategist. Kwanza hakuna kitu alifanya Kwa pesa za ndani. Kuku Santa Kodi tu kulimshinda.
Uyo nae mjinga. Kuweka guard za mbele kwenye gari eti kisa unazuiya ajali usababisha impact ndani ya gari kuwa kubwa zaidi. Iyo bus ilifanyiwa test ya ajali bila izo guards ikawa imeizinishwa... Izo chuma zitasababisha impact kuwa kubwa na watu kuchomoka kwenye vioo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.