Kama unaelewa vizuri mfumo wa Taneps Kila step kuanzia preliminary Hadi financial Kila sababu inayomtoa bidder evaluators Wana rise flag na kuweka justification. Sasa sielewi unataka ujulishwe Kwa barua?
Siku za kazi pia ni shida maana wanaofanya interview na wanaoendesha interview wengine ni wasjiriwa Wana majukumu mengine. Binafsi wasabato hata wakipata kazi ,jumamosi kwao ni shida
Pole Kwa kutofahamuvema ratiba za ndege. Kuna mashirika mengi yanakuja kwetu Kila siku. Ulikuwa airport saa ngapi? Terminal 3 inakuwa busy kuanzia saa 8 mchana (peak hours).Karibu Tena terminal 3 muda huo niliokuambia utarudi hapa na story mpya
Tunapolaumu mfumo tujipime wenyewe tunajua kuutumia huo mfumo? Mfumo was ajira ni mzuri na ni rafiki Kwa mtumiaji mwenye uelewa.
Changamoto kizazi Cha Facebook Kuna shida ya kuutumia mifumo.
Mfumo huu unaweza ku edit au kuondoa na kuweka upya taarifa zako changamoto Iko wapi?
Ukianza kudai interview kufanya jumamosi utadai unanyanyaswa then utatwambia ukipata kazi let say ya udaktari ukiambiwa uende kazini jumamosi utsema unanyanyaswa.Hutufai kanisanihutufai msikitimi na hufai kutumikia jamii Bora Mungu akupende zaidi ukamtumikie huko kwake
Nauli ya Ndege ni Variable ( inabadilika kulingana na siku na kuwahi kukata pia) ila ukiwa na milioni una uhakika kufika. Unaweza kufanya reservation (Ulizia) au ingia page ya Kenya Airways na Ethiopian Airline ndio wanaenda kule kupitia Nairobi au Bole Airport Addis Ababa.
Kaka shelisheli maisha sio rahisi sana itategemea na kipato chako. Changamoto ipo kwenye nyumba ya kupanga ni aghali sana ukilinganisha na home bedsitter inagharimu 400,000 hadi 500000 za bongo. Pesa yao inaitwa Seychelles Rupee. Kazi kupata ni rahisi sana kwani wenyewe wanapenda starehe sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.