Msaada: Nataka niende Ushelisheli kwa makazi

touch the sky

Senior Member
Aug 25, 2020
132
59
Nimemaliza chuo 2017 accounting & finance (BAF) nashukuru Mungu ameniweka hai hadi saivi amenipambania hadi hapa nilipofika.

Sina familia (mke wala mtoto) ila nataka nijaribu maisha sehemu nyingine nikutane na watu wapya kabisa na nianzishe makazi mapya, natamani kukaa Ushelisheli; kwa jinsi nilivyosoma sehemu mbalimbali pamenivutia.

Nataka nini toka kwenu?
Mfumo wa maisha, wageni wanapokelewaje (jamii ya Africa- Black) upatikanaji wa kazi yoyote na ufanyaji wa biashara kwa mgeni
Pia nauli kutoka hapa Bongo hadi huko.
 
Lugha kwanza ndio msingi wa kila kitu kama haujui lugha yao kule 5.1 pc wanaonge kingereza 0.7pc ndio kifaransa the rest ni lugha ya Kiseselwa .

Kama haujui kifaranasa itakuchukua miezi 6 mpk 7 kujichanganya na kufanya biashara, kwenye swala la kazi inabidi uingie kwenye website zao za uhamiaji ili ujue taratibu za kupata work permit na masharti mengine kama unataka ukafanye kazi kama pro.

Kila la kheri,ukifika huko usinisahahu katika utukufu wako .😂😂😂
 
Kaka shelisheli maisha sio rahisi sana itategemea na kipato chako. Changamoto ipo kwenye nyumba ya kupanga ni aghali sana ukilinganisha na home bedsitter inagharimu 400,000 hadi 500000 za bongo. Pesa yao inaitwa Seychelles Rupee. Kazi kupata ni rahisi sana kwani wenyewe wanapenda starehe sana hivyo hawafanyi kazi kama sisi. Kingine uchumi wao uko juu hivyo hata wasio na kazi hulipwa posho hii ni kwa Washelisheli tu. Lugha zao rasmi ni Kiingereza , kifaransa na creole. Biashara kwa wageni labda biashara kubwa kama hotel, supermarkets nak lakini hawaruhusu wageni kuuza nyanya, genge au umachinga.
 
Kaka shelisheli maisha sio rahisi sana itategemea na kipato chako. Changamoto ipo kwenye nyumba ya kupanga ni aghali sana ukilinganisha na home bedsitter inagharimu 400,000 hadi 500000 za bongo. Pesa yao inaitwa Seychelles Rupee. Kazi kupata ni rahisi sana kwani wenyewe wanapenda starehe sana hivyo hawafanyi kazi kama sisi. Kingine uchumi wao uko juu hivyo hata wasio na kazi hulipwa posho hii ni kwa Washelisheli tu. Lugha zao rasmi ni Kiingereza , kifaransa na creole. Biashara kwa wageni labda biashara kubwa kama hotel, supermarkets nak lakini hawaruhusu wageni kuuza nyanya, genge au umachinga.
Okay man kama huto jali naomba mwongozo
Inatakiwa uwe na sh. Ngapi ili ufike huko na ukarimu wa wenyeji upo vip
 
Kaka shelisheli maisha sio rahisi sana itategemea na kipato chako. Changamoto ipo kwenye nyumba ya kupanga ni aghali sana ukilinganisha na home bedsitter inagharimu 400,000 hadi 500000 za bongo. Pesa yao inaitwa Seychelles Rupee. Kazi kupata ni rahisi sana kwani wenyewe wanapenda starehe sana hivyo hawafanyi kazi kama sisi. Kingine uchumi wao uko juu hivyo hata wasio na kazi hulipwa posho hii ni kwa Washelisheli tu. Lugha zao rasmi ni Kiingereza , kifaransa na creole. Biashara kwa wageni labda biashara kubwa kama hotel, supermarkets nak lakini hawaruhusu wageni kuuza nyanya, genge au umachinga.
Je kuna mashamba kama bongo
 
Okay man kama huto jali naomba mwongozo
Inatakiwa uwe na sh. Ngapi ili ufike huko na ukarimu wa wenyeji upo vip
Nauli ya Ndege ni Variable ( inabadilika kulingana na siku na kuwahi kukata pia) ila ukiwa na milioni una uhakika kufika. Unaweza kufanya reservation (Ulizia) au ingia page ya Kenya Airways na Ethiopian Airline ndio wanaenda kule kupitia Nairobi au Bole Airport Addis Ababa.
 
Nauli ya Ndege ni Variable ( inabadilika kulingana na siku na kuwahi kukata pia) ila ukiwa na milioni una uhakika kufika. Unaweza kufanya reservation (Ulizia) au ingia page ya Kenya Airways na Ethiopian Airline ndio wanaenda kule kupitia Nairobi au Bole Airport Addis Ababa
Mtoa mada ameuliza wenyeji ukarimu wao upo vp
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom