Kijana io pesa nikubwa sana...kama ulivyoshauriwa na mdau apo juu io pesa inatosha kabisa changamoto ni pango au sehem yakuuzia,
Kwa mfano mimi ilinilazimu kutumia jiko la gesi kwasababu ya mazingira (chuo) watoto wachuo wanapenda madoido kinoma..apo nlijaribu kusatisfy custumers wangu...
Mkuu bihashara nimeanza tayarii, kiukweli jf ni sehem nzur sana yakupata elimu na ujasiri wa kufanya jambo,
Bihashara yangu inaweek 2 tu mpaka sasa,
Plan yangu nikuitathimini kwa mda wa week 3 then nitaweza kusema ikoje,
Ushauri wangi kwako ni anza kufanya usisubiri kukatishwa tamaa, changamoto...
Wakuu habari zenu poleni kwa mapambano ya kila siku, nimepata sehemu yakuuza chipsi chuoni , sehemu yenyewe ni cafeteria ambayo wanafunzi uitumia zaidi wakati wa mchana,
Naomba ushauri wenu ni mbinu gani nawezakuzitumia kupata wateja wengi na wakudumu pia nitamwajiri mtu mwenyesifa gani mbinu...
Habari kwenu nyote wanajamvii,poleni na majukumu ya kila iitwayo siku,
Ningependa kuhabarishwa kuhusu ufunguzi wa dirisha la kuapeal mkopo wa elim ya juu (hesleb).
Naomba kujua kama kunamtu mwenye taarifa yoyote anijuze,
Ninandugu yangu anapaswa kuapeal,
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.