Recent content by muladen

  1. M

    Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    Kijana io pesa nikubwa sana...kama ulivyoshauriwa na mdau apo juu io pesa inatosha kabisa changamoto ni pango au sehem yakuuzia, Kwa mfano mimi ilinilazimu kutumia jiko la gesi kwasababu ya mazingira (chuo) watoto wachuo wanapenda madoido kinoma..apo nlijaribu kusatisfy custumers wangu...
  2. M

    Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    Nimeyaamini haya maneno...
  3. M

    Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    Mkuu bihashara nimeanza tayarii, kiukweli jf ni sehem nzur sana yakupata elimu na ujasiri wa kufanya jambo, Bihashara yangu inaweek 2 tu mpaka sasa, Plan yangu nikuitathimini kwa mda wa week 3 then nitaweza kusema ikoje, Ushauri wangi kwako ni anza kufanya usisubiri kukatishwa tamaa, changamoto...
  4. M

    Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    Wakuu habari zenu poleni kwa mapambano ya kila siku, nimepata sehemu yakuuza chipsi chuoni , sehemu yenyewe ni cafeteria ambayo wanafunzi uitumia zaidi wakati wa mchana, Naomba ushauri wenu ni mbinu gani nawezakuzitumia kupata wateja wengi na wakudumu pia nitamwajiri mtu mwenyesifa gani mbinu...
  5. M

    Naomba msaada kuhusu DAAD scholarship ya Ujerumani

    Bsc irrigation and water resource engineering, Sokoine university, Gpa 4.1
  6. M

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Bashite alifananue swala la cheti feki, wanachodai alifoji akiwa koromije!
  7. M

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Wakulima tunaweza kujikwamua kirahidi pindi tukipata msaada wakitaalum,
  8. M

    Kuapeal mkopo wa elimu ya juu 2016/17

    Habari kwenu nyote wanajamvii,poleni na majukumu ya kila iitwayo siku, Ningependa kuhabarishwa kuhusu ufunguzi wa dirisha la kuapeal mkopo wa elim ya juu (hesleb). Naomba kujua kama kunamtu mwenye taarifa yoyote anijuze, Ninandugu yangu anapaswa kuapeal, Asante.
  9. M

    Je hii ni kweli kuhusu elimu ya Sokoine University (SUA)?

    Sua bata sana...tena vet ndo raha zaidii, Chamuhim ujue kupanga mda wako nakujielewa..
  10. M

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Thamini utu kwani ni mali
  11. M

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Xory
Back
Top Bottom