Wamkumbuke huyu Mzee atoke huku jf maana anajitahidi sana kujionesha lakini hawamuoni.Kiuhalisia ni mjinga tu ataamini kuwa kuna kiongozi wa tz ambaye yuko makini na kazi yake.
Tatizo kubwa linalosababisha watu wasipende kulipa Kodi ni mfumo mbovu uliyopo kuanzia kwa mkusanyaji kuzichepusha na kujinemesha na hata kile kidogo kinachofika sehemu husika nayo serikali kuwazitapanya kwa manufaa ya viongozi na familia zao.
Leo hii matajiri wakubwa nchi hii ni viongozi ili...
Binafsi ninapitia kama anayopitia mtoa mada na kiuhalisia ni jambo ambalo linaudhi,kukera na kukatisha tamaa hasa pale unapojikuta Kati ya watu 50's ni 2 au 3 mnashirikiana na waliobaki kazi yao ni kutuma mashambulizi.
Kiufupi mimi ni mtoto wa 25 kati ya watoto 50's kwa baba yangu na kama ilivyo...
Niko siti ya tatu japo napambana niwe siti ya siti ya dirishani nikiwa nimejiajiri na kuweza kujilipa mara tatu ya wenzangu tuliohitimu chuo pamoja kwa uweza wake Mola
Unadhani Faki hakusaidia kwa kupunguza uchawi hasa vijiji vya Ndengele na mbamba-bay?unafahamu kuwa huku kila alipata mafanikio nje alikuwa akija likizo akiondoka anarudi na kiatu cha mbao?
Unamjua mzee Miale wa mbamba-bay sàsa ni marehemu alivyoua familia yake mpaka watoto wakamkimbia na...
Mimi nilihitimu chuo mwaka 2016 na nilipanga kabisa ikifika 2019 sijapata ajira sitakaa nikaomba tena kuajiliwa na kiukweli nilisimamia uamuzi wangu na nimejijenga kiasi kwamba nikisikia ajira zimetangazwa sijawahi hata kuwaza tu kuomba
Wahitimu wenzangu tupambane na maisha halisi ya mtaani na...
Mimi nilichukua mtambo wa kwanza wa watts 120 mwaka 2020 kwa mwaka mmoja na 2021 nikawa nimemaliza kulipa na haujawahi kunisumbua hata kidogo na napata umeme wa uhakika
Kutokana na kuvutiwa na huduma yao mwaka jana nilichukua tena mtambo wa pili lakini pia sipitii changamoto yoyote mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.