Recent content by Mukalabamu

  1. M

    Kitabu gani nisome, Kitabu gani wasoma?

    nami naomba nitumie copy please mukalabamu@yahoo.com please nami naomba copy mukalabamu@yahoo.com
  2. M

    Tetesi madaktari kuzimua mgomo wao

    Tatizo la watanzania ni lawama tu!matatizo ya madaktari sio yao wenyewe wala ya waalimu sio yao wenyewe ni kwa ajili ya watanzania wote,tulio wengi tunaonyesha support na misimamo yetu kwenye keyboard lakini sio kwa vitendo wala hadharani!SASA HIVI KILA MTU ATOTOKA KIVYAKE!UTAHUDUMIWA KIVYAKO NA...
  3. M

    mwisho wa kujitolea:kutoka kwenye facebook ya Dr

    I am just a Tanzanian Dr, I am not MSD all I can do is advice you which medications and tests are best fit to improve your condition. I cannot pay for your MEDICATIONS, I cannot pay for your TESTS AND just for the record I am not supposed to care about your ability to afford these important...
  4. M

    Kuna watu wengine hawana kabisa 'Utambuzi' katika nchi hii...

    mtatoa mapovu sana mwaka huu,kiama chenu kinakaribia
  5. M

    UN has rejected Doctor's (MAT) Request

    Nathani hawakutegemea hilo,ila ujumbe umefika officially mengine yatafuata
  6. M

    UN has rejected Doctor's (MAT) Request

    je unajua hospitali za rufaa tanzania zimepangiwa sh ngapi katika bajeti ya wizara ya afya ya mwaka huu?unajua imetenga sh ngapi kuwatibia wanasiasa wastaafu 11?fuatilia tafakari utaamua mwenyewe
  7. M

    UN has rejected Doctor's (MAT) Request

    sio mahakama za tanzania,zinatumika sana na serikali
  8. M

    Hata madaktari wanahusika na ukosefu wa vitendea kazi na wao wajiiangalie!!

    sio wote,na hao wanaofanya hivyo wangekuwa wanalipwa vizuri wasingekuwa wanafanya hayo!kama kuna walioiba wala hawagomi wako wanaendelea na shughuli zao ila wazalendo ambao hawaibi ndo wanaogoma ili waboreshewe mazingira maana wenyewe hawataki wizi
  9. M

    Madaktari,wananchi na viongozi: Tafakarini haya

    well narated,anayetaka kuelewa ameelewa asiyetaka basi kanyaga twende,hakuna atakayedai haki yenu bali nyie wenyewe,wala support ya hao wanaohongwa tisheti na kapelo za ccm sidhani kama mnawahitaji katika mapambano yenu,hata siku moja sijawahi kusikia mwananchi akilalamika kuwa mazingira ya kazi...
  10. M

    Ukweli kuhusu mgomo na madai ya madaktari Tanzania

    wewe huoni kuwa wewe ndo unatumia masaburi maana unamlazimisha mwenzio kukubaliana na wewe na upotofu wako wa fikra.pathetic
  11. M

    Ukweli kuhusu mgomo na madai ya madaktari Tanzania

    Hizo ni propaganda zenu na serikali yenu ya kishenzi mnayotumia nguvu nyingi kuitetea,je yenyewe serikali inaweza kuofa nini katika hayo madai?mbona anaongelea mambo ya mishahara kwa nini haongelei uboreshaji wa huduma za afya?propaganda at work,mtashindwa kama sio leo ni kesho!kiama chenu...
Back
Top Bottom