NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Madaktari hawajui sheria?! Kesi ipo mahakamani, wakagoma, kama vile haitoshi wakapeleka kesi UN!
Kama hawana imani na mahakama iliyowekwa na serikali unawashauri wangeenda wapai?
Madaktari hawajui sheria?! Kesi ipo mahakamani, wakagoma, kama vile haitoshi wakapeleka kesi UN!
I thought they were looking protection of all Tanzanians and not a single person. What about those who died while they were on illegal strike????? who was supposed to protect them??Dar es Salaam. The United Nations office in Dar es Salaam yesterday acknowledged receipt of a letter from the Medical Association of Tanzania (MAT) seeking protection of Dr Stephen Ulimboka who is receiving treatment in South Africa.
The UN communications analyst, Ms Hoyce Temu, said yesterday that the resident coordinator of the global body, Dr Alberic Kacou, received the letter on Monday evening and immediately started consulting other partners on how to address issues raised by the document.
The resident coordinator will be meeting with representatives of UN agencies for consultations and drawing more expertise on how to address issues raised in the letter, Ms Temu said.
She said there were also many actors mentioned in the letter, including the doctors themselves through MAT, the government, and civil society organisations.
As a result, she noted, attending to the doctors requests would need more time so as to get the issues right from all sides prior to intervention and mediation.
UN is a transparent organ and believes in peace and stability of its member states, including Tanzania, she noted.
On Monday, MAT appealed to the United Nations and the international community to ensure the security of Dr Ulimboka in South Africa, where he is receiving treatment.
hapo ndipo unapoonyesha upimbi wako na ujuha wako uliokubuhu..angalia ranking ya vyuo vya kitabibu vya tanzania katika dunia ndio ujue hongo kunawasomi msiowatumia...pili kupelekwa nje kwa dkt ulimboka ni kutokana na kukosekana kwa vifaa(moja ya madai)..tatu udaktari na ufamasia si kitu kimoja ingawa zinauhusiano wa karibu..nne makosa ya operation zilizotokea muh2 hayakufanywa na madaktari bali idara ya uchapaji( kuchapisha majina mawili yote yenye kufanana mfano hamis juma badala ya majina matatu) na si kazi ya daktari kuhakikisha ni kazi ya muuguzi..kalale juha, jipange upya ndio uje hapa..
You sound like a real Doctor. Unaonekana unajua unachokiongea. Tatizo humu ndani kuna watu wako biased, hawajadili kwa kuangalia maslahi ya wananchi ambao wengi wao ni walalahoi wasioweza kupeleka ndugu zao nje kutibiwa. Wanatetea upande dhalimu kwa sababu tu wao wananufaika na udhalimu.Usikurupuke..Hawajui sheria?? Kama kesi iko mahakamani na haya yanatokea
-Rais ku_overrule, na kutoa uamuzi
-Rais kuchagua tume ya uchunguzi mwenyewe(ikiwa ndiyo inatuhumiwa na upande wa pili), na kabla ya tume kutoa majibu yeye mwenyewe kusema Serikali haihusiki, ni majibu gani unategemea kutoka katika tume?
-"wakagoma" kana kwamba huwa kuna mgomo halali..liini ulienda kupata kibali cha kugoma?? au unadhaani haya yalikuwa maandamano kwenda kuomba kibali!!
-"Wakapeleka kesi UN"--Unajua kesi iliyoko mahakamani ni ipi? Unajua barua iliyokwenda UN ilikuwa na OMBI gani?
-"Mahakamani"-kama kesi bado iko mahakamani na haijatolewa uamuzi, mbona serikali inafukuza intern doctors??
Ushauri: Hii nchi yetu sote, tuchangie ili kuijenga inasikitisha kwa nusu Karne TZ kuwa na madaktari 1500tu wanofanya
kazi katika hospitali za serikali wakihudumia zaidi ya watu mil40!! But above all tuchangia tukijua chanzo cha
mgogoro(madai) na si madhara ya mgogoro tu.
MADOCTOR wa tz wapasua kichwa badala ya mguu ni wapuuzi hawana maana, vishoka wakubwa afu wanaringa, wangekuwa wanaelewa sasa wangefanya nini si wangetusumbua sana, hapo tu mambumbumbu bado wanatuumiza vichwa,....kama wao ni madoctor kweli mbona ulimboka wanampelekwa kwa madoctor wenzao waliosoma shule ikasomaka huko india na souz africa? wao wameshindwa? vishoka hawana maana, yaani nikiwaona nao ati wanaringia profession yao huwa nacheka sana walevi hawa. kwanza wamezidi kutuibia madawa yetu kupeleka kwenye pharmacy zao.
I thought they were looking protection of all Tanzanians and not a single person. What about those who died while they were on "illegal" strike????? who was supposed to protect them??
Kasha kula ban kwa ujinga wake
Maneno haya huwa yanatumiwa na UAMSHO kwi! Kwi!Wewe huwezi kujifananisha na Dk yeyote. Kaa kimya DHAIFU wewe. Wewe ndiye mjinga maana hujui kinachoendelea. Huyo shetani mnayemuamini sasa anakaribia kuwafikisha ukingoni. Lakini mtafikishwa huko baada ya misukosuko mingi yenye mateso na taabu. Kama sasa mna siku kadhaa hamlali, na hata security yenu nayo iko mashakani. Mtabadilisha sana malazi. Hapa hadi kieleweke. Nchi hii ni ya watanzania, siyo yenu ninyi. Tutachukua nchi yetu kisha tuwananihiiii! Maana DHAIFU hamuwezi kuongoza wenye akili. Ndiyo maana mnaogopa kukutana nao kwa sababu hamna cha kuongea na wasomi 'who have all the evidence and facts in their hands"!!!You are in for it.
MADOCTOR wa tz wapasua kichwa badala ya mguu ni wapuuzi hawana maana, vishoka wakubwa afu wanaringa, wangekuwa wanaelewa sasa wangefanya nini si wangetusumbua sana, hapo tu mambumbumbu bado wanatuumiza vichwa,....kama wao ni madoctor kweli mbona ulimboka wanampelekwa kwa madoctor wenzao waliosoma shule ikasomaka huko india na souz africa? wao wameshindwa? vishoka hawana maana, yaani nikiwaona nao ati wanaringia profession yao huwa nacheka sana walevi hawa. kwanza wamezidi kutuibia madawa yetu kupeleka kwenye pharmacy zao.
mbona sielewi?haya ni majibu ya barua ya MAT kwa UN au maoni ya mleta thread?
We ni mjinga na huna akil sikushangai, unafikiri wewe una akil gani kumzidi daktari yoyote,,Ndo walewale uwezo mdogo kuongoza mkubwa??? Ujawaona waliokukwapulia mabilioni unadai dawa kweli wewe kichwa cha kuku akibebi mzigooo....bebaa boksi za dawa utinze kwako
@Ta Muganyizi kwa hiyo unategemea UN walete kikosi kama kile cha MONUSCO, UNMISS ama UNMIL hivyo TZ kuwe na UNMBOKA?Muanzisha thread Muongo. Atuonyeshe barua iliyoandikwa na UN Dar badala ya Prediction.
MADOCTOR wa tz wapasua kichwa badala ya mguu ni wapuuzi hawana maana, vishoka wakubwa afu wanaringa, wangekuwa wanaelewa sasa wangefanya nini si wangetusumbua sana, hapo tu mambumbumbu bado wanatuumiza vichwa,....kama wao ni madoctor kweli mbona ulimboka wanampelekwa kwa madoctor wenzao waliosoma shule ikasomaka huko india na souz africa? wao wameshindwa? vishoka hawana maana, yaani nikiwaona nao ati wanaringia profession yao huwa nacheka sana walevi hawa. kwanza wamezidi kutuibia madawa yetu kupeleka kwenye pharmacy zao.