Wadau naomben msaada kwa anaefahamu namba za kupiga ili kufahamu kias cha pesa ninachodaiwa na TRA kwa njia ya cm nina pikipik. Nahitaji kubadili plate number. Asanten.
Jaman wana forum naomben msaada nina tatizo la kutokwa na uchafu mweupe kwenye uume kwa muda mrefu tatizo hilo huambatana na maumivu makal chin ya kibofu nilienda hospital wakanipima docter akaniambia sina tatizo lolote anaefahamu tatizo hili naomba anishaur kitu tafadhar maana naumia sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.