Muhsin kanick
Member
- Aug 26, 2016
- 11
- 1
Jaman wana forum naomben msaada nina tatizo la kutokwa na uchafu mweupe kwenye uume kwa muda mrefu tatizo hilo huambatana na maumivu makal chin ya kibofu nilienda hospital wakanipima docter akaniambia sina tatizo lolote anaefahamu tatizo hili naomba anishaur kitu tafadhar maana naumia sana.