Geita Bank yenu inalemewa na wateja has a mwisho wa mwezi pale kwenye ATM machines ,Mara nying nimeshuhudia msururu mrefu had SAA tatu za usiku, fanyeni utaratibu wa kuongeza/kufungua ATM machines ziwe nyingi ili kurahisha huduma kwa wateja wenu.
Nasema tuache siasa unashabikia polisi kuumizwa na bunduki kuchukuliwa alafu unajiita raia mwema! kivipi? Jiulize hiyo silaha italeta madhara kwa wangapi? usikoment ili uonekane na wewe humo, sipendi uhalifu,na napenda sana askari,pole kwa askar aliyeumia.
Hapa kila kitu SIASA hata ambaye hajui SIASA anajifanya anajua siasa, anayeshabikia kitendo kama hicho huyo sio mwema,kitendo cha kuumia kwa askari tunatakiwa tuguswe,na tukikemee...... usichangie hapa ili kufurahisha mtu hapa.Kuumia kwa askar ni sawa ameumia ndugu yangu hivyo naumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.