Recent content by muhanga

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nini hasa maana ya utajiri?

    Utajiri ni fikra zako tu kila mtu ana mtazamo wake kuh dhana ya utajiri
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna kuoa na kusindikizana kimaisha

    Hilo neno
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wa JamiiForums ni watemi sana

    Hijitaki
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kuombewa na mtumishi wa Mungu GeorDavie ni laki moja kwa kila mtu

    Km kikombe cha babu
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake acheni unafiki

    halafu its like wanawake ndio watoa huduma ina maana na wewe unapojipinda hutoi huduma?
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake acheni unafiki

    unajitia hujui wakati wewe ni mteja wao mkubwa, nenda kwenye madanguro utawakuta wao pesa kwanza kikojoleo baadae, hao wala hawahitaji hata kujua jina lako ukilipa unahudumiwa kwani hujui ? uwanja wa fisi huwa unafuata nini kila siku?
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usifungue uzii huu kama huna cha Ku comment

    mi najua kama wewe nimwanamume kweli na mpaka leo bado unatafuta style basi una matatizo flani hivi.. either you are too young for that au haisimami ndio maana hujui cha kufanya hadi leo... nenda shule dogo hizi style kila siku zinaibuka mpya zisikupotezee muda umeskia dogoo point 4...
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake acheni unafiki

    talking about money mnayonunulia kumbe ni sh.2000:(:( no wonder....
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina furaha, ninatamani kurudi kwa wazazi wangu

    At age of 25 still need to go back home, u must be jocking:oops: Unapotafuta maisha, jitahidi sana kuwa positive katika safari yako nzima, umri ulionao sio mdogo wa kukumbatiwa na ndugu, jitahidi usome unachosoma, ukaafute maisha mbele ya safari, usije ukajenga hiyo negativity yako ikamfikia...
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake acheni unafiki

    sundoka ututake radhi kaka, wanaojiuza wanajulikana hata wanakouzia 'vikojoleo' vyao kwa hiyo kugeneralize kuwa wanawake wote sio sawa, inamaana hata mzazi wako wa kike anauza kwa mzazi wako wa kiume:(
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kutoka Dodoma: Fred Mpendazoe atangaza rasmi kurudi CCM

    njaa mbaya , ana kiu ya uongozi tu akikosa hawezi kukaa kama mwanachama wa kawaida, hiyo dhana si nzuri sana kwani hakuna alieumbwa kuwa kiongozi tu
  12. M

    JamiiForums Tanzania Lake Ngozi (Ziwa Ngozi) na simulizi za ajabu

    poleni, haya maziwa yana maelezo yake ya kisayansi na kijiografia, sema kwa wasiojua ndio wanayahusisha na kuwa na maajabu mara mashetani lakin kiukweli ni kwamba kina chake huwa ni kirefu sana na ni kama shimo na hivyo kusababisha kinachoingia kuvutwa chini na kushindikana kutoka, but hilo la...
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

    Mada ni nzuri sana kwa kweli na mimi imenielimisha vizuri ingawa sijamaliza kusoma post zote
  14. M

    JamiiForums Tanzania Gharama za uendeshaji wa gari

    Hata japan walianza kama sisi, tupongeze pale ambapo kuna jambo la kujiongeza limetendeka, matatizo ya kiutendaji mahali popote mfumo mpya ukianzishwa hutokea na baada ya muda hufanyika tathmini ya mafanikio na matatizo na kutafuta ufumbuzi na kuboresha.
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uhuru wa mwanamke mwisho ni mlangoni

    hiyo heading ilinishtua kuwa uhuru wetu mwisho mlangoni???? kumbe aaah hayo mambo madogo, kwani huyo mwanamke atakuwa anatafuta nini sehemu hatarishi kama hizo???
Back
Top Bottom