unajitia hujui wakati wewe ni mteja wao mkubwa, nenda kwenye madanguro utawakuta wao pesa kwanza kikojoleo baadae, hao wala hawahitaji hata kujua jina lako ukilipa unahudumiwa kwani hujui ? uwanja wa fisi huwa unafuata nini kila siku?
mi najua kama wewe nimwanamume kweli na mpaka leo bado unatafuta style basi una matatizo flani hivi.. either you are too young for that au haisimami ndio maana hujui cha kufanya hadi leo... nenda shule dogo hizi style kila siku zinaibuka mpya zisikupotezee muda umeskia dogoo point 4...
At age of 25 still need to go back home, u must be jocking:oops: Unapotafuta maisha, jitahidi sana kuwa positive katika safari yako nzima, umri ulionao sio mdogo wa kukumbatiwa na ndugu, jitahidi usome unachosoma, ukaafute maisha mbele ya safari, usije ukajenga hiyo negativity yako ikamfikia...
sundoka ututake radhi kaka, wanaojiuza wanajulikana hata wanakouzia 'vikojoleo' vyao kwa hiyo kugeneralize kuwa wanawake wote sio sawa, inamaana hata mzazi wako wa kike anauza kwa mzazi wako wa kiume:(
poleni, haya maziwa yana maelezo yake ya kisayansi na kijiografia, sema kwa wasiojua ndio wanayahusisha na kuwa na maajabu mara mashetani lakin kiukweli ni kwamba kina chake huwa ni kirefu sana na ni kama shimo na hivyo kusababisha kinachoingia kuvutwa chini na kushindikana kutoka, but hilo la...
Hata japan walianza kama sisi, tupongeze pale ambapo kuna jambo la kujiongeza limetendeka, matatizo ya kiutendaji mahali popote mfumo mpya ukianzishwa hutokea na baada ya muda hufanyika tathmini ya mafanikio na matatizo na kutafuta ufumbuzi na kuboresha.
hiyo heading ilinishtua kuwa uhuru wetu mwisho mlangoni???? kumbe aaah hayo mambo madogo, kwani huyo mwanamke atakuwa anatafuta nini sehemu hatarishi kama hizo???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.