Mkuu uko sahihi 100%,Hao jamaa ndivyo walivyo,nimeishi Rwanda miaka 10,Burundi na karagwe,vision yao ni ku create tutsi empire, lengo lao likiwa ni kuitawala Africa mashariki na kati, Ni kweli ishu ya kubambikiwa mtoto hata uku kwetu ipo,ila kwa hawa jamaa kwao ni too much pia kabila hili...
Unaweza ukamaliza taratibu zote mpaka finger print na bado kupata passport ni shida ukienda uhamiaji unambiwa njoo baada ya wikibili
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kwenye vita vilivyopigwa kati ya us na Iraq naadhi ya wabongo walimuunga mkono sadam lakini kilicho kuja tokea madhani wanajua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu Hapo hakuna ujanja wala sayansi yeyote, ya kupata mtoto wakike au kiume,wako wengi wamejaribu sayansi hio na wameambulia patupu swala la watoto ni Mungu ndie anayepanga na wala si mwanadam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.