Binafsi sikubaliani na huu unaouita utafiti. Haya naweza kuyaita mawazo na hisia binafsi. Nitafuta maneno haya pale utakapoeleza ni taasisi gani ilifanya utafiti. Otherwise futa neno utafiti kwenye heading yako.
Habari? Kwanza nikuambie pole kwa aliyekupa historia ya Siku za nyuma si sasa, Tengeru ni sehemu salama kama ilivyo sehemu nyingine. Wengi walisema usiku hapakuwa salama ila sasa hata ukifika kituo cha basi usiku utakuwa salama. Vijana wa bodaboda wamechangia sana kuleta utulivu na hawapo...
Kweli ndiyo nasikia habari za huyu Mtanzania ila ni habari yenye kufunza na kuhamasisha jamii kufanya kazi bila kukata tamaa.
Nimemfananisha hiyo aliyemsukuma kama kikwazo ama changamoto tuzipitiazo katika maisha wakati wa kukamilisha ndogo zetu. Kikwazo hicho chaweza kutoka kwa yeyote kuanzia...
Poleni sana ndugu zetu, huu ni wakati wa kupata elimu sahihi ya kujikinga na majanga hasa matetemeko. Watu waelimishwe ni tahadhari gani za kuchukua kabla na ikitokea wafanye nini kwa usalama.
Ni wakati mwafaka wa wenye weledi kutoa elimu ili kuwanusuru ndugu zetu.
Mimi nina maswali yanayohitaji majibu kwa hicho watu wabashiricho:
1. Je bajeti ya USA na Korea Kaskazini ya kijeshi i a tofauti ya shilingi ngapi?
2. Je uzoefu wa kivita katika hizo nchi 2 unatofautianaje
3. Je ukubwa wa jeahi wa hizo nchi unatofautianaje?
4. Je tukiangalia support ya kivita...
Hii habari inasikitisha, ksma itathibitika kuwa kweli na TFDA hili ni pigo la kiuchumia kwa wakazi wa Singida mpaka Dodoma na pia ni pigo kwa sisi tuliojengwa na kuamini hayo ndiyo mafuta bora.
Tuwaombe TFDA watoe tamko juu ya hili usije ikawa ni market competition inayofanywa ili tununue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.