Kiufupi watu walio na migogoro ya ndoa na waliowahi kutengana hawafai kupewa uongozi katika jamii

Msemajiwao

JF-Expert Member
Sep 12, 2016
619
1,513
Kwa uchunguzi Wa kina nilioufanya; pamoja na kwamba kila mtanzania ana haki ya kuteuliwa/ kuchaguliwa kuwa kiongozi Wa umma endapo katimiza masharti! Nimegundua kwamba watu ambao historia inaonyesha ndoa zao kuwa na migogoro hawastahili kupewa nafasi ya kuongoza nchi!
Nashauri kama katiba inataja kiongozi anaeteuliwa/kuchaguliwa asiwe na tuhuma za kifungo mahamani, ningependa na kipengele cha mtu huyo kutokuwa na migogoro ya ndoa yake kiwe kinazingatiwa ili kupata viongozi bora! Huwezi kuwa msaada Kwa watu wengine kama familia yako imekushinda- "You should take care of yourfamily and other people wholive close to you before helpingpeople who are living furtheraway or in another country"

" Charity begins at Home"
 
Tehe tehe tehe kama kweli vile
Kama familia yake imemshinda ataweza wana nchi
 
Mtoa mada inaonyesha bado maisha ya ndoa unayajua kwa kusoma magazeti na vitabu. Pity on you. Hakuna ndoa duniani ambayo haina migogoro only inatifautiana causes na depth. Huyo mtu wa namna hiyo labda ashuke toka mbinguni kwa Baba au tuombe Mungu atupatie malaika
 
Kwa uchunguzi Wa kina nilioufanya; pamoja na kwamba kila mtanzania ana haki ya kuteuliwa/ kuchaguliwa kuwa kiongozi Wa umma endapo katimiza masharti! Nimegundua kwamba watu ambao historia inaonyesha ndoa zao kuwa na migogoro hawastahili kupewa nafasi ya kuongoza nchi!
Nashauri kama katiba inataja kiongozi anaeteuliwa/kuchaguliwa asiwe na tuhuma za kifungo mahamani, ningependa na kipengele cha mtu huyo kutokuwa na migogoro ya ndoa yake kiwe kinazingatiwa ili kupata viongozi bora! Huwezi kuwa msaada Kwa watu wengine kama familia yako imekushinda- "You should take care of yourfamily and other people wholive close to you before helpingpeople who are living furtheraway or in another country"
Habari? Nina mashaka sana na uelewa wako juu ya mambo ya ndoa, naomba uoe au uolewe ukale mwaka mmoja halafu uje uandike huu uzi wako.
Pia nikuombe uwe makini na matumizi yya neno uchunguzi unapotoa taarifa za kishelawadu
" Charity begins at Home"
 
Mtoa mada inaonyesha bado maisha ya ndoa unayajua kwa kusoma magazeti na vitabu. Pity on you. Hakuna ndoa duniani ambayo haina migogoro only inatifautiana causes na depth. Huyo mtu wa namna hiyo labda ashuke toka mbinguni kwa Baba au tuombe Mungu atupatie malaika
Angalia historia utakubaliana na mimi
 
Kwa uchunguzi Wa kina nilioufanya; pamoja na kwamba kila mtanzania ana haki ya kuteuliwa/ kuchaguliwa kuwa kiongozi Wa umma endapo katimiza masharti! Nimegundua kwamba watu ambao historia inaonyesha ndoa zao kuwa na migogoro hawastahili kupewa nafasi ya kuongoza nchi!
Nashauri kama katiba inataja kiongozi anaeteuliwa/kuchaguliwa asiwe na tuhuma za kifungo mahamani, ningependa na kipengele cha mtu huyo kutokuwa na migogoro ya ndoa yake kiwe kinazingatiwa ili kupata viongozi bora! Huwezi kuwa msaada Kwa watu wengine kama familia yako imekushinda- "You should take care of yourfamily and other people wholive close to you before helpingpeople who are living furtheraway or in another country"

" Charity begins at Home"
Hili ndo tatizo la mwenye akili mkurupuko akijichanganya na wasio na akili mkurupuko,
Hivi dunia hii kuna mtu hamtolei mfano Mandera kama kiongozi bora,
Unajua alioa na kuacha mara ngapi,
Yapo majinga mangapi yapo ktk ndoa, yapo mambumbumbu mangapi huku
 
Mtoa mada inaonyesha bado maisha ya ndoa unayajua kwa kusoma magazeti na vitabu. Pity on you. Hakuna ndoa duniani ambayo haina migogoro only inatifautiana causes na depth. Huyo mtu wa namna hiyo labda ashuke toka mbinguni kwa Baba au tuombe Mungu atupatie malaika
Kabisa mkuu
 
Hili ndo tatizo la mwenye akili mkurupuko akijichanganya na wasio na akili mkurupuko,
Hivi dunia hii kuna mtu hamtolei mfano Mandera kama kiongozi bora,
Unajua alioa na kuacha mara ngapi,
Yapo majinga mangapi yapo ktk ndoa, yapo mambumbumbu mangapi huku


Wengi hatutafakari wala kujishughulisha na kufikiri wala kusoma wala kupekua historia na hili ni tatizo kubwa. Nikushukuru Mkuu kwa mfano wako wa Mh Nelson Mandela mleta mada amekurupuka!
 
Back
Top Bottom