kibao cha mbuzi
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 507
- 492
LABDA HUYO TICHA HAJUI SHERIA NA DEREVA KAFA
mkuu wengine humu hata kusikiliza au kuangalia habari kwenye vyombo vya habari hawaangalii... .ye anategemea habari za fb tu.Acha kuropoka usichokijua wee magar yalikua matatu mawili yalitangulia..limoja likapata ajali.Sijui mmeumbwaje mijitu mingine kwa uzushi hamjambo etii inasemekana!! Si bora unyamaze
Mmmmh nina mashaka na taarifa yako. Magari yalikuwa 3 hilo moja ndilo lililopata ajali.Tena inasemekana ilitakiwa magari matatu lakini yeye akaforce moja
Inasemekana ndio nini manaake...!?Tena inasemekana ilitakiwa magari matatu lakini yeye akaforce moja
Sasa mbona habari iliotapakaa huku mtaani ndo inavyosemekanaCheeii...jamani
Mbona magari yaliyoenda ni hayo matatu, eb tuache kusema tusiyoyajua wakuu
Kweli aisee kuna umbali sana ni zaidi ya kilomita 40Kuna ubora wa gari wenyewe, kumbuka hii safari ilikua ndefu (arusha-karatu). Anayejua tatizo ni dereva bahati mbaya naye hatunaye