Recent content by mugajamii

  1. M

    Waziri Mkuu: Wahandisi wajenge majengo kwa kusimamisha matofali ili matofali machache yajenge majengo mengi

    Kweli hujui kama tofali zinachukua eneo sawa haijalishi umelilaza au kulikalisha? Safari ni ndefu sana kwa kweli.
  2. M

    JKT Tanzania yakamilisha ukuta wa Mirereni nyuma ya muda, vipi kuhusu majeshi ya Kenya?

    Sio swali hilo, ni maelezo. Nimeyatoa baada ya kusoma headline uliyoiweka na habari yenyewe viko tofauti. Tunajifunza pamoja, tutafika tu. Ila ahead of schedule ni kabla au mbele ya muda uliokadiriwa.
  3. M

    JKT Tanzania yakamilisha ukuta wa Mirereni nyuma ya muda, vipi kuhusu majeshi ya Kenya?

    Ahead of schedule sio nyuma ya muda. Ni mbele au kabla ya muda.
  4. M

    Ngorongoro crater.... (domestic tourism)

    Osha kwa maji ya chumvi.
  5. M

    Ngorongoro crater.... (domestic tourism)

    Ukiviosha kwa maji ya chumvi mbona vinalika. Kama ni Me kula red onion.
  6. M

    NORTH KOREA(Kim Jong Un): Bilionea George Soros amuonya Donald Trump

    Mwenzake rockerfella alikufa mwaka jana, alishafanyiwa operation sita za moyo.
  7. M

    President Magufuli should know better and show some respect

    Pia inabidi iwe Fornt fet ndio aione.
  8. M

    Ndoa ina changamoto zisizoisha

    It's a process not a project.
  9. M

    Nyanya zimekosa soko zinaniozea Mahenge.

    Fuga na nguruwe kama ni mkulima, hutakaa upate hasara ya mazao.
  10. M

    Gari la ndoto yako: Ni aina gani ungependa kumiliki?

    Juaga hata kuziandika basi kama kweli unazipenda.
  11. M

    Zimbabwe: Kamati Kuu ya Chama cha ZANU-PF imemvua Uenyekiti wa Chama Rais Mugabe, Grace Mugabe avuliwa Uanachama

    Kitu pekee viongozi wa Africa watakachojifunza hapo ni kuwaweka vibaraka wao kuwa wakuu wa majeshi.
  12. M

    Hivi kumbe katika Majeshi yetu hakuna Karakana na magari hutengenezwa na Kampuni za Wahindi zitakazojitokeza

    Ukimaliza kushangaa hilo, jiulize waziri wa mambo ya ndani yuko wapi hadi DAB ndio ashughulikie mambo yaliyo chini ya wizara husika.
Back
Top Bottom