Hakuna hatari yoyote kwani hata bacteria waliopo eneo hilo ni normal flora kwahiyo kama akihama kutoka kwenye koromeo kwenda tumboni atakufa kutokana na mazigira sio rafiki kwake kubuka tumboni kuna balaa la acid kali kuliko maelezo.labda kama mtu ana TB.Ndiyo
1.uchafu.
2.unameza vimelea vya magonjwa
Alafu pia sio uchafu zile ni mucousNdiyo
1.uchafu.
2.unameza vimelea vya magonjwa
Huwa unameza lita moja ya makohozi kwa siku bila kujua.!Ndiyo
1.uchafu.
2.unameza vimelea vya magonjwa
Hata ziitweje,bado ni uchafu kwa kuwa umekusanya vitu vingi,ukivimeza havikupi kirutubisho wala kukushibisha kwanini umeze?Umewahi kutema chini koozi ukaona linavyofanana???Alafu pia sio uchafu zile ni mucous
Kwanini uteme wakati unaweza kumeza na ukaepusha kusambaza magonjwa wakati tumbo lako linaweza kuwamaliza hao wadudu sio uchafu sema wewe unakinyaa tuHata ziitweje,bado ni uchafu kwa kuwa umekusanya vitu vingi,ukivimeza havikupi kirutubisho wala kukushibisha kwanini umeze?Umewahi kutema chini koozi ukaona linavyofanana???
Kama upo kwenye position ya kutema kwanini usiteme?
SwadaktaKama ni yako we meza tu
AiseeKwanini uteme wakati unaweza kumeza na ukaepusha kusambaza magonjwa wakati tumbo lako linaweza kuwamaliza hao wadudu sio uchafu sema wewe unakinyaa tu
Wewe tunakujua umezoea kunyonya machine kohozi halikushindiUnaandika kama unapwagula.
Kama haupo kwenye Position ya kuyatema???
Ningependa kufahamu iwapo mtu akiwa na mazoea ya kumeza makohozi anaweza kupata athari zozote kiafya. Na kama athari zipo ni zipi?
Kazi ya makohozi ni kusafisha mfumo wa hewa. Hivyo yanatengeneza kulingana na uhitaji. Na hivyo mengi sana huwa unayameza hata sa hivi unavyosoma hapa utakuwa umemeza 3/8 litaFafanua kidogo mkuu