Nyanya zimekosa soko zinaniozea Mahenge.

Mkwere Sumbawanga

JF-Expert Member
Sep 28, 2015
734
634
Habari wadau! Amani kwenu. Mimi ni mkulima mzuri wa nyanya na mwaka huu Nina kama ekari moja na nusu nililima nyanya tu sasa zimekubali vizur tatizo hakuna wateja. Naulizia njia nzuri ya kusindika Nyanya ni ipi au nizifanyeje?
 
pole mkuu... kwa jiografia ya mahenge sijui nikushaurije ili uzisafirishe ufikishe mjini salama... usiwe kinganganizi wa bei mkuu... anagalia kama maslahi yanaridhisha achia mzigo walau msingi wako urudi, mzigo usikudodee
 
Habari wadau! Amani kwenu. Mimi ni mkulima mzuri wa nyanya na mwaka huu Nina kama ekari moja na nusu nililima nyanya tu sasa zimekubali vizur tatizo hakuna wateja. Naulizia njia nzuri ya kusindika Nyanya ni ipi au nizifanyeje?
Umeshauliza hata soko la hapa dar ni bei gani??
 
Pole sana ndugu. Ila imefika wakati inabidi Watanzania tubadilike na tuache kufanya mambo kwa mazoea na kubahatisha. Ulipoamua kulima ekari moja na nusu ilibidi ufikirie nje ya box na kupanga mkakati madhubuti wa kukabiliana na changamoto kama hizi endapo zitatokea huko mbeleni.
Tafuta wadau wa SIDO wanaweza kukupa ushauri kuhusu usindikaji wa nyanya.
Kila la kheri.
 
Habari wadau! Amani kwenu. Mimi ni mkulima mzuri wa nyanya na mwaka huu Nina kama ekari moja na nusu nililima nyanya tu sasa zimekubali vizur tatizo hakuna wateja. Naulizia njia nzuri ya kusindika Nyanya ni ipi au nizifanyeje?
Fuga na nguruwe kama ni mkulima, hutakaa upate hasara ya mazao.
 
Back
Top Bottom