Sio kweli mkuu wanaofanyisha usaili wilayani na Ni kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya husika ambapo humo ndani kuna vyombo vyote vya usalama na sio wajeshi peke yao
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Chukua ushauri huu ukienda mmjkt hawatakukataa Tena watakufurahia kukuona mzalendo na chap utapangiwa kambi kuungana na hao ma dg wa six
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyo chizi maarifa karibia kila story inayoletwa yeye hua anaponda tu ana shida gani au Ni chizi kweli??
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Jf watu wanakera Sana yaan mtu anasimulia story yake watu wanaleta ujuaji na imekua Ni tabia sasa maana hii story ya tatu msimuliaji anashindwa kumalizia sababu ya ujuaji wa baadhi ya wapuuzi humu ndani itafutwe namna ya kuwadhibiti ili wasiwaaribie wengine wanaotaka kujifunza kutokana na hizo...
Ni kweli ma striker tunao lakini hawana ubora huo wa kutegemewa anahitajika striker ambaye atatupa goli 20+ kwa msimu hawa tulionao wa kawaida sana sio level ya timu kubwa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Upo serious mkuu kweli hatuhitaji striker?? yaani tuendelee kuwategemea akina harvetz me naona pamoja na yote uliyoyataja lakini striker anahitajika sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.