kama yesu anaweza kujitetea angeanza na wale watoto walionajisiwa na mapadre wa katoriki au kama ana uwezo angewazuia wanalipua makanisa manake gvmt imewashndwa
Usiangalie kwa jicho la chuki dhidi ya uislamu.tatizo hili limesababishwa na wafaransa kwa kuwapa fursa wakrito hapo awali na wnyw kujiona wa haki kuliko waislamu,huo mgogoro siyo wa leo
usifananishe dini na chama,chadema wakiandamana kwa ya ukristo halafu wanyimwi kibali hilo lingekuwa tatizo au chadema ikiandamana inawakilisha wakristo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.