Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,227
- 1,362
Hivi sasa hapo Bangui central africa- jamii ya kiislamu na kikisto hawaivi kabisaa. wanchinjana na kuharibiana mali utazania ugomvi wa mamba na simba kuvutania shingo ya nyati. sasa cha kujiuliza ni nani mchonganishi?
Mchonganishi ni mataifa ya kiislamu ya Chad na Sudan kupeleka jihadists Bangui ili kuutoa madarakani utawala wa mkristo kinguvu na kuweka muislamu atawale . Nchi za kiarabu nazo ni za kulaumiwa sana maana bila kutoa pesa na kununua siraha kali kama walizotumia sereka lebels, wasingeweza kuuuangusha utawala wa Bosize.
Ufaransa ilimepeleka majeshi yake Bangui baada ya siri kuu ya Chad na Sudan kujikana mara moja. matokeo yake raisi michael Jodotia kakimbia nchi, majeshi ya kukodiwa ya jihadists kutoka Chad na Sudan nayo yamekimbia.
Waislamu wachache nchini humo wameachwa wakiwa hawana ulinzi na anti baraka wanazidi kuharibu mali zao.
Nini kifanyike sasa?
Ni vizuri mama Panza akamteua makamu wa raisi muislamu ili waweze kwa pamoja kuongea na wanajamii hizi mbili zinazouana kila kukicha. wewe unasemaje? naomba maoni yako tafadhali
Mchonganishi ni mataifa ya kiislamu ya Chad na Sudan kupeleka jihadists Bangui ili kuutoa madarakani utawala wa mkristo kinguvu na kuweka muislamu atawale . Nchi za kiarabu nazo ni za kulaumiwa sana maana bila kutoa pesa na kununua siraha kali kama walizotumia sereka lebels, wasingeweza kuuuangusha utawala wa Bosize.
Ufaransa ilimepeleka majeshi yake Bangui baada ya siri kuu ya Chad na Sudan kujikana mara moja. matokeo yake raisi michael Jodotia kakimbia nchi, majeshi ya kukodiwa ya jihadists kutoka Chad na Sudan nayo yamekimbia.
Waislamu wachache nchini humo wameachwa wakiwa hawana ulinzi na anti baraka wanazidi kuharibu mali zao.
Nini kifanyike sasa?
Ni vizuri mama Panza akamteua makamu wa raisi muislamu ili waweze kwa pamoja kuongea na wanajamii hizi mbili zinazouana kila kukicha. wewe unasemaje? naomba maoni yako tafadhali