misikiti yote ipo chini ya ulinzi,vipi tambaza ,kwa mtoro?Maudhui yao nini?kama ionekanavyo ktk Mabango?Magari ya polisi yakiwa na FFU yalikuwa yameuzunguka msikiti wa Kichangani, Magomeni na msikiti wa Mtambani, Kinondoni lakini wameshindwa kuwazuia Waislam kuelekea kidogo chekundu.
Waislam tumezidi, tunapenda maandamano kuliko kutafuta pesa. Huu ni muda wa kazi, watu wako bize na kutafuta maisha, siye twahasishana eti tukalaani sinema vidongo vyekundu? Ndo maana hatuendelei kwa uvivu wetu wa kutafakuri
Viongozi wa dini inabidi waangalie jinsi ya kuelimisha waumini wao. Maana kwa hii trend watu wameacha dini wanaanza kudili na mambo ya kidunia sasa. Sensa imeisha sasa tunatafuta episodi nyingine ili vurugu ziendelee..Waislamu inabidi wawe makini sana na hizi issue za vurugu coz kila ijumaa wanatafuta reason ya kuandamana. Mnasababisha hata waumini waanze kuogopa dini zao..
misikiti yote ipo chinya ulinzi,vipi tambaza ,kwa mtoro?Maudhui yao nini ktk Mabango?
kwa nini wanaita maandamano ya waislamu kwa ujumla wao badala ya maandamano ya kamati ya kudai haki za waislamu chini ya ponda??? Je sio uchochezi????
Baadhi ya taasisi kama bakwata na nyingine hawako katika maandamano hayo.
dah....mbuai mbuai....dashalama mbuai....ausha mbuai.....ntende zeze.....?
Watanzania hata nusu tu tungekua na ari hii ya waislamu nchi ingeshakombolewa zamani hii
Wadau,
inasadikika hawa wenzetu (waislamu) wamekusanyika hapo kidongo chekundu na wanaandama sijui kuelekea wapi but i think they are heading to posta mpya.tumepokea taarifa kutoka kwa management yetu kwamba watu wakimbie mjini kwani yasadikiwa huenda fujo zinaweza kutokea.ofisi kadhaa mjini zimeshafungwa sasa sijui kuna usalama kweli huko katikati mjini pls mlio kwenye maeneo hayo mtujuze kinachoendelea!