Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
234

Wanajamvi nauliza hivi: Jee, ingekuwa ni wafuasi qwa Chadema ndiyo wamevunja uzio (ribbon) iliyowekwa na polisi pale kidongo Chekundu na kuingia uwanjani, ingekuwaje?

Jee sasa hivi Chadema si ingekuwa tayari imefutwa? Polisi lazima wangeingilia na kutmbeza virungu na risasi, watu wangekufa na kulaumiwa CDM kwa "kutotii amri halali' ya polisi.

Hivi katika mikusanyiko na maandamano ni Chadema pekee ndiyo inatakiwa kutii "amri halali' ya polisi?

Hadi lini polisi wataendelea kutiwa vidole machoni namna hii na kukaa kimya, lakini huwa tayari, hata kuleta FFU kutoka mikoa mingine, kuhakikisha CDM wanatii 'amri halali" kutoka kwao?

Kuna unafiki mkubwa hapa. Kuna bvaadhi ya viongozi hao wa dini wamewahi kutoa matamko ya kuilaani CDM 'kwa kutotii amri halali ya polisi" wakati kunaibuka virugu polisi wakiingilia mikutano yao.
 

Wanajamvi nauliza hivi: Jee, ingekuwa ni wafuasi qwa Chadema ndiyo wamevunja uzio (ribbon) iliyowekwa na polisi pale kidongo Chekundu na kuingia uwanjani, ingekuwaje?

Jee sasa hivi Chadema si ingekuwa tayari imefutwa? Polisi lazima wangeingilia na kutmbeza virungu na risasi, watu wangekufa na kulaumiwa CDM kwa "kutotii amri halali' ya polisi.

Hivi katika mikusanyiko na maandamano ni Chadema pekee ndiyo inatakiwa kutii "amri halali' ya polisi?

Hadi lini polisi wataendelea kutiwa vidole machoni namna hii na kukaa kimya, lakini huwa tayari, hata kuleta FFU kutoka mikoa mingine, kuhakikisha CDM wanatii yao 'amri halali"?

Kuna unafiki mkubwa hapa. Kuna bvaadhi ya viongozi hao wa dini wamewahi kutoa matamko ya kuilaani CDM 'kwa kutotii amri halali ya polisi" wakati kunaibuka virugu polisi wakiingilia mikutano yao.


Hii faslafa ya IGP Mwema ya kutii amri bila shuruti - na nonsense nyingine - ina mushkeli mkubwa sana, na ndiyo maana hauleti matunda. Polisi wenyewe wanakiuka falsafa yao, sembuse wananchi?
 
Ewe mwenyezi Mungu ulie juu -- endelea kuwaumbua hawa mapolisi kwa dhamira yao mbaya dhidi ya nguvu ya umma. endelea kuonyesha ulimwengu kwamba wanatumika tu kisiasa, na siyo katika kutenda haki.
 

Wanajamvi nauliza hivi: Jee, ingekuwa ni wafuasi qwa Chadema ndiyo wamevunja uzio (ribbon) iliyowekwa na polisi pale kidongo Chekundu na kuingia uwanjani, ingekuwaje?

Jee sasa hivi Chadema si ingekuwa tayari imefutwa? Polisi lazima wangeingilia na kutmbeza virungu na risasi, watu wangekufa na kulaumiwa CDM kwa "kutotii amri halali' ya polisi.

Hivi katika mikusanyiko na maandamano ni Chadema pekee ndiyo inatakiwa kutii "amri halali' ya polisi?

Hadi lini polisi wataendelea kutiwa vidole machoni namna hii na kukaa kimya, lakini huwa tayari, hata kuleta FFU kutoka mikoa mingine, kuhakikisha CDM wanatii yao 'amri halali"?

Kuna unafiki mkubwa hapa. Kuna bvaadhi ya viongozi hao wa dini wamewahi kutoa matamko ya kuilaani CDM 'kwa kutotii amri halali ya polisi" wakati kunaibuka virugu polisi wakiingilia mikutano yao.

Umesema mambo makubwa kiupambanuzi, Waandishi wa habari wangekuwa kweli wanaifanya kazi yao kimaadili wangepaaza sauti zao za juu kabisa kuhitaji majibu kutoka mamlaka husika.

Kwa kukaa kwao kimya wanatoa nafasi ya watu wengine kuuwawa na jeshi la polisi kwenye mikusanyiko au maandamano yakiratibiwa na asasi zisizo za kiserikali, vyama vya siasa (kwa sasa chadema) ama raia wanapokua katika harakati za kufikisha ujumbe kwa mamlaka juu ya mambo wasiyoyakubali ama kwa kuwa yanakiuka katiba, taratibu za utawala ama haki za binadamu.
 
fimbo ya nyoka hachapiwi mbayuwayu...................... Tupo tayari kwa lolote kama hao polisi wawachezee hao CDM (NGUVU YA UMA) tu na si UMAAT MOHAMMAD(S.A.W)
 
Watoa vibali wanaamini kwamba CHADEMA inawakilisha mfumo wa Kikristo. Hawa waislamu wanaoandamana kila siku bila vibali wao ni sehemu ya dola na hii ni zamu yao, kama anavyosema riz1. Usichokijua ni nini? Hujui kuwa hapa nchini UDINI hivi sasa umeshajichimbia mizizi. Na walionyuma ya huu udini ndio hao hao wanaojifanya kuukemea kwenye majukwaa ya kisiasa. Fungua macho uuone
 

Wanajamvi nauliza hivi: Jee, ingekuwa ni wafuasi qwa Chadema ndiyo wamevunja uzio (ribbon) iliyowekwa na polisi pale kidongo Chekundu na kuingia uwanjani, ingekuwaje?

Jee sasa hivi Chadema si ingekuwa tayari imefutwa? Polisi lazima wangeingilia na kutmbeza virungu na risasi, watu wangekufa na kulaumiwa CDM kwa "kutotii amri halali' ya polisi.

Hivi katika mikusanyiko na maandamano ni Chadema pekee ndiyo inatakiwa kutii "amri halali' ya polisi?

Hadi lini polisi wataendelea kutiwa vidole machoni namna hii na kukaa kimya, lakini huwa tayari, hata kuleta FFU kutoka mikoa mingine, kuhakikisha CDM wanatii yao 'amri halali"?

Kuna unafiki mkubwa hapa. Kuna bvaadhi ya viongozi hao wa dini wamewahi kutoa matamko ya kuilaani CDM 'kwa kutotii amri halali ya polisi" wakati kunaibuka virugu polisi wakiingilia mikutano yao.

Chadema wana wafuasi au wapiganaji?
 
Zak Malang,

Unataka kutuambia kwenye ule umati wa Waislam kulikuwa hakuna wanachama au wafuasi wa Chadema.

hata kama miongoni mwao walikuwepo wanachama/wafuasi wa chadema ina maana hata chembe ndogo ya ufahamu wako inashindwa kukupa taarifa kuwa mkusanyiko ule haukuandaliwa na chadema na wala hakukuwa na matamko yoyote kutoka chadema!? sometimes unatia aibu kwa uwezo wako finyu wa kupambanua mambo, WAKE UP LAZY MIND!
 
watoa vibali wanaamini kwamba chadema inawakilisha mfumo wa kikristo. Hawa waislamu wanaoandamana kila siku bila vibali wao ni sehemu ya dola na hii ni zamu yao, kama anavyosema riz1. Usichokijua ni nini? Hujui kuwa hapa nchini udini hivi sasa umeshajichimbia mizizi. Na walionyuma ya huu udini ndio hao hao wanaojifanya kuukemea kwenye majukwaa ya kisiasa. Fungua macho uuone

kama nimekusoma vile!
 
sipati picha ingekuwaje maana nafikiri tendwa angekua keshafuta CDM fasta na tume zishaundwa kama mia hivi...na matamko ya kulaani ukiukwaji wa amri halali yapolisi yangekua yametoka kama mia hivi......
 
Zak Malang,

Unataka kutuambia kwenye ule umati wa Waislam kulikuwa hakuna wanachama au wafuasi wa Chadema.

Inawezekana wapo tena wengi tuu lakini kwa sababu hawakuingilia kwa kofia ya chadema tunauliza je wangeingia wakiwa na skafu na kofia za chadema wangeachwa au wangevurumishiwa na mikombola ya mabomu na kuuawa ,ishu hapa ni kwamba Polisi wanatumika kisiasa ,vipi iwe maandamano mengine halali na mengine si halali Ritz
 
usifananishe dini na chama,chadema wakiandamana kwa ya ukristo halafu wanyimwi kibali hilo lingekuwa tatizo au chadema ikiandamana inawakilisha wakristo?
Watoa vibali wanaamini kwamba CHADEMA inawakilisha mfumo wa Kikristo. Hawa waislamu wanaoandamana kila siku bila vibali wao ni sehemu ya dola na hii ni zamu yao, kama anavyosema riz1. Usichokijua ni nini? Hujui kuwa hapa nchini UDINI hivi sasa umeshajichimbia mizizi. Na walionyuma ya huu udini ndio hao hao wanaojifanya kuukemea kwenye majukwaa ya kisiasa. Fungua macho uuone
 

Wanajamvi nauliza hivi: Jee, ingekuwa ni wafuasi qwa Chadema ndiyo wamevunja uzio (ribbon) iliyowekwa na polisi pale kidongo Chekundu na kuingia uwanjani, ingekuwaje?

Jee sasa hivi Chadema si ingekuwa tayari imefutwa? Polisi lazima wangeingilia na kutmbeza virungu na risasi, watu wangekufa na kulaumiwa CDM kwa "kutotii amri halali' ya polisi.

Hivi katika mikusanyiko na maandamano ni Chadema pekee ndiyo inatakiwa kutii "amri halali' ya polisi?

Hadi lini polisi wataendelea kutiwa vidole machoni namna hii na kukaa kimya, lakini huwa tayari, hata kuleta FFU kutoka mikoa mingine, kuhakikisha CDM wanatii yao 'amri halali"?

Kuna unafiki mkubwa hapa. Kuna bvaadhi ya viongozi hao wa dini wamewahi kutoa matamko ya kuilaani CDM 'kwa kutotii amri halali ya polisi" wakati kunaibuka virugu polisi wakiingilia mikutano yao.


Acheni polisi wafanye kazi yao.
Msiwapangie.
 
Excellent, aliyefananisha haya maandamano ni Zak Malang, ndio kasema wangekuwa Chadema? nakuuliza wewe mmejuaje kwenye ule umati pale Kidogo Chekundu kulikuwa hakuna wafuasi wa Chadema?

wewe acha kujifanya hamnazo! anachomaanisha huyo jamaa ni kwamba: iwapo maandamano/mkusanyiko ule ungekuwa umeandaliwa na chadema na wakafanya matendo yale yale ya kuvunja sheria kama ya ponda na wafuasi wake(waislam), je reaction ya vyombo vya dola(polisi) na wanasiasa(ccm) ingekuwa kama tulivyoshuhudia?
 
Back
Top Bottom