Yaani watu waccm mnatia hasira,ninani asiyefahamu mshindi wa urais wa 10/2015?Lakin Mungu ashukuriwe kwa7bbu hata aliyempitisha kwa sasa kaanza kujuta,sijui baada miaka mitano itakuwaje.
Wapendwa mm ni mgeni wa jf.kuna Uzi nilitaka tujadili kuhusu elimu yetu kwa sasa. Kwanza ni nchi gani kwasasa inaongosa east Africa. Kielimu? Je serikali ya tz walifikiria nn kuondoa drs la saba? Je tutarajie nini siku sijazo kwa secta ya elimu? Naombeni mtu moja awake vizuri kama Uzi Ahsanteni
Mm naona kwa kipindi hichi,wajinga ndio wengi.halafu wanawake wengine hawaelewi,wanataka usawa na mwanaume,wakati aliyelipa mahari ni mwanaume.halafu kuna makabila mengine kuoa ni sawa na kununua samtrela, mahari ni. Ng'ombe 24 mbuzi 72. Halafu ndio ajekukuringia,wamama jifikirieni tena.
Wanawake walio wengi hawajui kuwa hiyo ndio ndoa, halafu isitoshe wanaume sio kwamba tunapenda kutoka nje, tunawindwa sana, mitego yamekuwa mengi.unawesa ukaapa kabisa kwamba sitatoka.Huku mitaani unasakwa baada ya kugundua unahamua kwenda nyumbani, kufika kwa mkeo,amekaakaa ovyo ovyo...
Wapendwa mm nilikuwa mwana ccm,mpaka march mwaka Jana. Lkn nilipoona uchafu niliwachukia kuliko kitu yoyote,nilijiona nilikuwa mjinga sana, kwanza naombeni mnisamee kwa kuwai kuwa mwanachama wa ccm. Ninachowaomba ndugu zangu msiumise akili kubishana nao,wajibuni pole pole iko siku wataelewa kama...
Huyu jamaa akisema nawataka watanzania kuwa watulivu na kulinda amani ya nchi na kujiepusha na jambo wanaona linamwelekeo wa uvunyifu wa Amani. Mnawelewaje huyu mzee,ni wachache wenye busara kama huyu Mzee wapende wasipende hatuna mtu kama huyu kwa sasa tz.Huyu Mzee hatakama ni mwizi,visadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.