Recent content by mtzman

  1. mtzman

    Ijue tofauti ya mwanamke mjinga na mwerevu

    Ndugu unafikiri atataka usawa huo?
  2. mtzman

    Matukio ya Rais Magufuli na timing za Lowassa

    Yaani watu waccm mnatia hasira,ninani asiyefahamu mshindi wa urais wa 10/2015?Lakin Mungu ashukuriwe kwa7bbu hata aliyempitisha kwa sasa kaanza kujuta,sijui baada miaka mitano itakuwaje.
  3. mtzman

    Elimu ya Bongo ni zaidi ya Komedi

    Wapendwa mm ni mgeni wa jf.kuna Uzi nilitaka tujadili kuhusu elimu yetu kwa sasa. Kwanza ni nchi gani kwasasa inaongosa east Africa. Kielimu? Je serikali ya tz walifikiria nn kuondoa drs la saba? Je tutarajie nini siku sijazo kwa secta ya elimu? Naombeni mtu moja awake vizuri kama Uzi Ahsanteni
  4. mtzman

    Manispaa ya Shinyanga yapiga Marufuku Ufugaji wa Nguruwe

    Sii baadhi ya ilani ya ccm hiyo? Hamjui? Mtaona mengi ndugu zangu wanatz.
  5. mtzman

    Ijue tofauti ya mwanamke mjinga na mwerevu

    Mm naona kwa kipindi hichi,wajinga ndio wengi.halafu wanawake wengine hawaelewi,wanataka usawa na mwanaume,wakati aliyelipa mahari ni mwanaume.halafu kuna makabila mengine kuoa ni sawa na kununua samtrela, mahari ni. Ng'ombe 24 mbuzi 72. Halafu ndio ajekukuringia,wamama jifikirieni tena.
  6. mtzman

    Zitto aanza vita ya wazi dhidi ya Rais Magufuli

    Mm nimewaambia ccm ee tulieni,tunawapa miaka mitatu2 tukutane hapaha sawa,.
  7. mtzman

    Sijui kukata kiuno kumridhisha mume wangu

    Wanawake walio wengi hawajui kuwa hiyo ndio ndoa, halafu isitoshe wanaume sio kwamba tunapenda kutoka nje, tunawindwa sana, mitego yamekuwa mengi.unawesa ukaapa kabisa kwamba sitatoka.Huku mitaani unasakwa baada ya kugundua unahamua kwenda nyumbani, kufika kwa mkeo,amekaakaa ovyo ovyo...
  8. mtzman

    Lowassa: Kuitwa gamba, fisadi kuliniondoa CCM

    Yaani nyie watu msio elewa wa ccm,tutafutane baada ya miaka mitatu.ni heri hata mngemlasimishaga membe.
  9. mtzman

    Sijui kukata kiuno kumridhisha mume wangu

    Hivi kweli wanaume niwauliseni ukweli ingekuwa kila mwanamke anaangaika kutafuta jinsi ya kumtoshelesa mmeo kitandani,mngetoka nje kweli?
  10. mtzman

    Kikwete: CCM Hawakutaka Zanzibar Uchaguzi Urudiwe

    Huyu Mzee aliwahumisa sana watz waliowengi.
  11. mtzman

    Hali ya Fedha mfukoni ni mbaya kwelikweli, Kwenu vipi waungwana?

    Hahaha kumbe sio mm mwenyewe,mm mpaka ni wasa wameniendea kwa washenzi mini,!?
  12. mtzman

    Lowassa: Tutaingia Ikulu bila kumwaga damu

    Kipindi hichi tutaambizana baada ya miaka mitatu2.
  13. mtzman

    Lowassa: Tutaingia Ikulu bila kumwaga damu

    Wapendwa mm nilikuwa mwana ccm,mpaka march mwaka Jana. Lkn nilipoona uchafu niliwachukia kuliko kitu yoyote,nilijiona nilikuwa mjinga sana, kwanza naombeni mnisamee kwa kuwai kuwa mwanachama wa ccm. Ninachowaomba ndugu zangu msiumise akili kubishana nao,wajibuni pole pole iko siku wataelewa kama...
  14. mtzman

    Lowassa: Tutaingia Ikulu bila kumwaga damu

    Huyu jamaa akisema nawataka watanzania kuwa watulivu na kulinda amani ya nchi na kujiepusha na jambo wanaona linamwelekeo wa uvunyifu wa Amani. Mnawelewaje huyu mzee,ni wachache wenye busara kama huyu Mzee wapende wasipende hatuna mtu kama huyu kwa sasa tz.Huyu Mzee hatakama ni mwizi,visadi...
Back
Top Bottom