KilichomwondoA CCM sio kuitwa gamba.Aliitwa Gamba sana tu akiwa CCM hakuondoka.Kilichomwondoa CCM ni baada ya Jina lake Kukwatwa asiwe mgombea Uraisi CCM.Mzee Lowasa kweli anapoteza kumbukumbu.Akawadanganye CHADEMA.PANGA LA KUMKATA LILIPOPITA NDIO AKATIMKA MKUKU KUKIMBILIA CHADEMA.Lowasa wanasema hawezi kukimbia hana mbio lakini lilipokatwa jina CCM mbio alizokimbia kwenda CHADEMA sijawahi ona.Angeweza pata hata medali ya OLYIMPIC
Marehe mtikila sasa maneno yake naanza kuyaamini huyu mzee anaugonjwa wa akili sasa umemtuma kuota urasi ndipo nafuu kwake inapokujaHaiingii akilini hata kidogo,atakayemwamini inabidi apimwe akili.ukiangalia kwa makini Chadema ndio walikuwa WAASISI wa kumsema vibaya na ndio wamemsema vibaya zaidi ya CCM na kwa muda mrefu.
Iweje sasa atoke CCM na kukimbilia huko huko ambako ndiko waliasisi na kuongoza kumchafua(tena hata bila kumuomba radhi!)halafu aseme ametoka kwa kuwa ameitwa gamba na fisadi na CCM?Au kuitwa fisadi na CHADEMA ni sahihi lakini kuitwa na CCM ndio makosa?na je kwanini asingetoka mapema badala yake akasubiri mpaka WALIPOMFYEKA kule Dodoma?
Kwenye hili maswali ni mengi kuliko majibu.
Na ule mpango wa kwenda monduli kuchunga mifugo yake umeishia wapi