Matukio ya Rais Magufuli na timing za Lowassa

Matukio ya Rais Magufuli na timing za Lowassa

Kuna jambo nimeliona kuhusu fisadi Lowasa kila Raisi Magufuli afanyapo jambo kama ni kuhutubia au jambo lolote lile ambalo linaifanya nchi ijadili kesho yake fisadi Lowasa lazima atasema kitu na kuandikwa kwenye gazeti kwenye ukurasa mmoja na Raisi wa nchi, sasa Je hii inatokea tu au ni jambo ambalo limepangwa?

Nitatoa mfano siku zote Lowasa alikuwa kimya siku Raisi amehutubia Mahakama na kufanya nchi nzima ijadili Hotuba yake na yeye (Lowasa) akakutana wanaoitwa wazee wa chadema akaita waandishi wa Habari na kuwekwa ukurasa mmoja na Habari za Raisi, kama hili halikutosha jana Raisi kasafiri kwenda Dodoma kasimama Moro kuhutubia Wananchi ina maana vyombo vya Habari leo hii vimejaa Habari za Raisi Lowasa naye kaita Wahandishi wa Habari anaweka sababu zilizomuondoa CCM ambazo kila Mtz wa akili ya wastani anajua sababu alizotoa ni za Uongo kwani kila mtu anajua kwamba aliondoka CCM baada ya CCM kumkataa kwenye Uongozi!

Sasa hii timing yote ya Lowasa naweza kusema ni ktkt kutapatapa kujaribu kubakia relevant lkn atafanya hivyo mpaka lini?

Nafikiri Lowasa kuna jambo alipaswa kulielewa nalo ni hili kuna Watz hawamkubali hata afanye nini ambao ndio wengi na kuna WatanZania wachache wake ambao wanamkubali hata afanye nini na hilo halibadiliki hata afanye nini hivyo ni bora arelax tu na kusubiri 2020, kwani wengi waliomkataa wamemkataa moyoni na wachache waliomkubali wamemkubali moyoni hivyo hamna haja kutumia nguvu kujaribu kubadilisha chochote kile!


Na leo Raisi magufuli atahutubia huko Singida kwenye maazimisho ya Chama chake ina maana kuanzia kesho Habari ni za Magufuli tu, sasa natabiri utoto tena fisadi Lowasa na yeye atafanya jambo ili pia aandikwe kwenye Magazeti sambamba na Raisi wa nchi!
"Watz hawamkubali hata afanye nini ambao ndio wengi na kuna watanzania wanamkubali hata afanye nini na hilo halibadiliki hata afanye nini hivyo arelax na kusubiri 2020" Mkuu nimelazimika kunukuu hii segment kwa kuwa imeja facts na ujumbe mzito.Ila nionavyo mimi ungekamilisha ushauri wako kwamba hata hiyo 2020 asijisumbue kuisubiri manake wale "wengi" bado watakuwepo kumzuia kupitia ballot box,so arelax na kuendelea na mambo mengine.
 
Nitatoa mfano siku zote Lowasa alikuwa kimya siku Raisi amehutubia Mahakama na kufanya nchi nzima ijadili Hotuba yake na yeye (Lowasa) akakutana wanaoitwa wazee wa chadema akaita waandishi wa Habari na kuwekwa ukurasa mmoja na Habari za Raisi, kama hili halikutosha jana Raisi kasafiri kwenda Dodoma kasimama Moro kuhutubia Wananchi ina maana vyombo vya Habari leo hii vimejaa Habari za Raisi Lowasa naye kaita Wahandishi wa Habari anaweka sababu zilizomuondoa CCM
mzee EL Anawapa shida sana fisiem
hii ni kutokana na kuwa anapendwa so ana power kwa majority than jpm
iko hivyo ndug
huwez kupingana na watu mil10 wenye mapenz yao kwa el
kwan nyinyi hamjiulizi y lowassa akifanya jambo nchi maskio kwake???
 
Poleni sana Maccm ngoma bado mbichi hii naona mnahangaika kupata wanachama kwa kufanya maigizo, ila mmesahau El ni miongoni mwa MA master wa siasa Tz. Watu wanajipanga tu bungeni ukawa wanashambulia, mtaani ni Lowasa na ukawa nzima tuna is uzuri 2020 inshallah. Ila mkae mkijua mpaka Sasa ukawa inazid ongezeka nyi mkichukua 10 si tunabeba100000,tunasubir vijana under18 mwaka 2020 watakua wapiga Kura, plus huko vijijini ili tuwafute kabisa
 
Poleni sana Maccm ngoma bado mbichi hii naona mnahangaika kupata wanachama kwa kufanya maigizo, ila mmesahau El ni miongoni mwa MA master wa siasa Tz. Watu wanajipanga tu bungeni ukawa wanashambulia, mtaani ni Lowasa na ukawa nzima tuna is uzuri 2020 inshallah. Ila mkae mkijua mpaka Sasa ukawa inazid ongezeka nyi mkichukua 10 si tunabeba100000,tunasubir vijana under18 mwaka 2020 watakua wapiga Kura, plus huko vijijini ili tuwafute kabisa


Hahah nimeipenda hii ya mwaka 2020 ila umesahau neno moja kukamilisha misemo yenu ya siku zote nalo ni Oktoba, au oktoba 2020 CCM out kama ilivyokuwa kuanzia 2000-2005-2010-2010-2015 na sasa 2020!
 
Kuna jambo nimeliona kuhusu fisadi Lowasa kila Raisi Magufuli afanyapo jambo kama ni kuhutubia au jambo lolote lile ambalo linaifanya nchi ijadili kesho yake fisadi Lowasa lazima atasema kitu na kuandikwa kwenye gazeti kwenye ukurasa mmoja na Raisi wa nchi, sasa Je hii inatokea tu au ni jambo ambalo limepangwa?

Nitatoa mfano siku zote Lowasa alikuwa kimya siku Raisi amehutubia Mahakama na kufanya nchi nzima ijadili Hotuba yake na yeye (Lowasa) akakutana wanaoitwa wazee wa chadema akaita waandishi wa Habari na kuwekwa ukurasa mmoja na Habari za Raisi, kama hili halikutosha jana Raisi kasafiri kwenda Dodoma kasimama Moro kuhutubia Wananchi ina maana vyombo vya Habari leo hii vimejaa Habari za Raisi Lowasa naye kaita Wahandishi wa Habari anaweka sababu zilizomuondoa CCM ambazo kila Mtz wa akili ya wastani anajua sababu alizotoa ni za Uongo kwani kila mtu anajua kwamba aliondoka CCM baada ya CCM kumkataa kwenye Uongozi!

Sasa hii timing yote ya Lowasa naweza kusema ni ktkt kutapatapa kujaribu kubakia relevant lkn atafanya hivyo mpaka lini?

Nafikiri Lowasa kuna jambo alipaswa kulielewa nalo ni hili kuna Watz hawamkubali hata afanye nini ambao ndio wengi na kuna WatanZania wachache wake ambao wanamkubali hata afanye nini na hilo halibadiliki hata afanye nini hivyo ni bora arelax tu na kusubiri 2020, kwani wengi waliomkataa wamemkataa moyoni na wachache waliomkubali wamemkubali moyoni hivyo hamna haja kutumia nguvu kujaribu kubadilisha chochote kile!


Na leo Raisi Magufuli atahutubia huko Singida kwenye maazimisho ya Chama chake ina maana kuanzia kesho Habari ni za Magufuli tu, sasa natabiri utoto tena fisadi Lowasa na yeye atafanya jambo ili pia aandikwe kwenye Magazeti sambamba na Raisi wa nchi!
CCM na Serikali imeathirika vipi hapo!?
 
Kama aliweza kuporwa ushindi hata nchi angeporwa
Msahaulifu sana wewe? Umeshasahau kuwa CCM walifuta uchaguzi Zanzibar kwa malalamiko haya haya ya kuporwa ushindi?
Ina maaana hata CCM hawafai kuendelea kuwepo madarakani?
 
Siku ya kufungua kampeni Jangwani kulipigwa sala nzito.

Zile sala za Ask Gwajima na yule shekhe na manabii mbalimbali zilishindwa kulinda hizo kura zisiibiwe???

Queen Esther

Msahaulifu sana wewe? Umeshasahau kuwa CCM walifuta uchaguzi Zanzibar kwa malalamiko haya haya ya kuporwa ushindi?
Ina maaana hata CCM hawafai kuendelea kuwepo madarakani?
 
Uzuri hata huu uzi upo kupepea jina la LOWASA kwa kujua au kutojua, nimeangalia habari za mbele hata JF jina la Lowasa linaogolea
 
Hata afanye vipi, hatafanikiwa. JPM ni level nyingine na kamwe Lowassa hatamfikia.
 
Kumuita kwangu Lowasa fisadi hakuhusiani na Raisi Magufuli wala Mahakama yake, bali kunatokana na nilichofundishwa na kuaminishwa na Kubenea kupitia Gazeti lake, Lema kwenye mikutano yake pamoja Slaa, Lisu na Mbowe hawa watu ndiyo walionitambulisha neno fisadi Lowasa kwangu hivyo kama kama kuna yoyote anayepaswa kujibu maswali kuhusu Ufisadi wa Lowasa ni hawa watu na siyo mimi kwani hakuna siku waliokanusha kwamba Lowasa siyo fisadi kwa kutumia njia ile ile waliyotuambia kwamba ni fisadi!

Acha kuaminishwa bwana. Tumia uwezo wa akili yako kutambua hilo wewe mwenyewe!!

Mbona mumeweza kutumia akili zenu hata kuwapa nafasi serikalini tena kwa akina Prof. Muhongo (ufisadi wa Tegeta Escrow Account), Dr. Mwakyembe (ufisadi wa reli na bandarini), Prof. Maghembe (mawaziri mizigo), Dr. John P. Magufuli (ufisadi wa ujenzi duni wa barabara zetu na uuzwaji wa nyumba za serikali) na wengine wengi kama si CCM yote?? Kwa nini asiwe Lowassa bwanaa!!!???

Let's be honest and sincere hata tunapokuwa tuna argue rather than kushambulia tu bila ya kuwa na facts.

Acheni mzee wetu ili ndoto aliyonayo katika maisha yake ya ingalau kuja kuwa Rais wa nchi hii hata kwa mwaka mmoja tu aitimize kabla hajapaa kwenda mbinguni!!

Hizo zingine ni fitna na siasa chafu tu ndani ya CCM, hakuna kingine chochote kile. Hakuna cha ufisadi wala nini!!

Au ni vibaya na dhambi sana mtu kuwa na ndoto zake ktk maisha yake mkuu??

By the way, what is your dream in your life? Je, ni kuhakikisha unamsema na kumwandika Lowasssa mpaka akome, au??

If this is the case, change it before it's too late because it will take you no where ndugu rather than causing an everlasting pain in your life!!
 
Mleta Uzi ni Malaya wa kufikiri.Mzee Edo ni mtu maarufu tangu enzi hizo. hajapata umaarufu vichochoroni Kuwa raised was nchi sio lazima uwe maarufu kuliko wengine.VIVA EDWARD LOWASSA...LONG LIVE UKAWA!!!
 
Kuna jambo nimeliona kuhusu fisadi Lowasa kila Raisi Magufuli afanyapo jambo kama ni kuhutubia au jambo lolote lile ambalo linaifanya nchi ijadili kesho yake fisadi Lowasa lazima atasema kitu na kuandikwa kwenye gazeti kwenye ukurasa mmoja na Raisi wa nchi, sasa Je hii inatokea tu au ni jambo ambalo limepangwa?

Nitatoa mfano siku zote Lowasa alikuwa kimya siku Raisi amehutubia Mahakama na kufanya nchi nzima ijadili Hotuba yake na yeye (Lowasa) akakutana wanaoitwa wazee wa chadema akaita waandishi wa Habari na kuwekwa ukurasa mmoja na Habari za Raisi, kama hili halikutosha jana Raisi kasafiri kwenda Dodoma kasimama Moro kuhutubia Wananchi ina maana vyombo vya Habari leo hii vimejaa Habari za Raisi Lowasa naye kaita Wahandishi wa Habari anaweka sababu zilizomuondoa CCM ambazo kila Mtz wa akili ya wastani anajua sababu alizotoa ni za Uongo kwani kila mtu anajua kwamba aliondoka CCM baada ya CCM kumkataa kwenye Uongozi!

Sasa hii timing yote ya Lowasa naweza kusema ni ktkt kutapatapa kujaribu kubakia relevant lkn atafanya hivyo mpaka lini?

Nafikiri Lowasa kuna jambo alipaswa kulielewa nalo ni hili kuna Watz hawamkubali hata afanye nini ambao ndio wengi na kuna WatanZania wachache wake ambao wanamkubali hata afanye nini na hilo halibadiliki hata afanye nini hivyo ni bora arelax tu na kusubiri 2020, kwani wengi waliomkataa wamemkataa moyoni na wachache waliomkubali wamemkubali moyoni hivyo hamna haja kutumia nguvu kujaribu kubadilisha chochote kile!


Na leo Raisi Magufuli atahutubia huko Singida kwenye maazimisho ya Chama chake ina maana kuanzia kesho Habari ni za Magufuli tu, sasa natabiri utoto tena fisadi Lowasa na yeye atafanya jambo ili pia aandikwe kwenye Magazeti sambamba na Raisi wa nchi!
Akafie mbali na ufisadi wake.
 
Weewe unadhani Magufuli ni Malaika. Siyob???

Kwa taarifa yako hakuna MTU Mwepesi kama yeye !!

Ukitaka kujua nenda
kawaulize kwenye Magazeti Na Redio

Kwa nini wanatoa habari za Lowasa wakati Magufuli yupo ???

Si kinachokuumaaaa nenda kawaulize !!!
Na Bado
 
Yaani watu waccm mnatia hasira,ninani asiyefahamu mshindi wa urais wa 10/2015?Lakin Mungu ashukuriwe kwa7bbu hata aliyempitisha kwa sasa kaanza kujuta,sijui baada miaka mitano itakuwaje.
 
Back
Top Bottom