Dogo hebu na wewe Uowe (uwe na ndoa) ndio itahadithia hapo ni bado kabisahamna mahala pamesema umekaa ila pamesema umejipumzisha na kama ni mwelevu basi utajua ni mtu kajilaza ndio uwezekano wa kukaliwa mgongoni ukawepo.
Ila bila shaka na ww ni mwanamke MJINGA hvo hujui kumpet pet bwana ako.
Dogo hebu na wewe Uowe (uwe na ndoa) ndio itahadithia hapo ni bado kabisa
Mwanamke atoke kazini aje kukaa kwenye kocho mtakula nini
Mwanamke wako halimi
hakuonesho mshahara
hapiki
hafui hamsaidii Beko 3
hazai na kujua majukumu yake
sana sana na ww kufanywa mtumishi wa banda la mifugo tu
Mwanamke hana Sifa wala kasoro usimuangalie wa mwenzio wakati wa kwako ndio wa kulalia makochi
As a woman unatakiwa ujue namna ya kumhandle mmeo na namna ya kumfanya akutii bila kujihisi anapelekeshwa.Hiyo ya kulala mapema ungeifafanua. Yaani ukeshe unaangalia movie au mpira mpk saa 8 usiku mimi nipo macho tu? Kama nasikia usingizi nifanyaje?
Umechelewa zako kurudi upo bar mpk saa 9 usiku mimi nipo macho tu nakusubiri nisilale? Hayo yatakuwa mateso.
Fafanua kidogo la sivyo haijakaa sawa. Naweza kusinzia kwenye kochi ukiwa unaangalia mpira ukimaliza niamshe tukalale.
Nilitumia vigezo vifuatavyo..hv mkuu Fundi chupi i wonder hili jina ulijipa kwa kutumia vigezo gani!??
maneno kuntu kama waswahili wasemavyo..Mm naona kwa kipindi hichi,wajinga ndio wengi.halafu wanawake wengine hawaelewi,wanataka usawa na mwanaume,wakati aliyelipa mahari ni mwanaume.halafu kuna makabila mengine kuoa ni sawa na kununua samtrela, mahari ni. Ng'ombe 24 mbuzi 72. Halafu ndio ajekukuringia,wamama jifikirieni tena.
Ha...we umeliona hilo tu[emoji12]kwenye kochi huwa mnakalia tumbo?