Thnx 4 ur comments.
Hakuna kitu mawakili wazuri, system imeshika mpini, watakalo huwa! Kwani umesahau tume ngapi zilikuja na mapendekezo mazuri, lakini zikapigwa na chini! haikuwa ya Nyalali akiwa madarakani, ikatupwa huko, usichezee system bro. husubiri mpaka mambo yawageukiye, kama ya...