Ni jambo la kusikitisha, toka kuanza kwa vyama vingi, hapajakuwako na chama chochote cha siasa kilichopendekeza mgombeya Uraisi wa Jamhuri ya Muungano, kutoka visiwani! Hii inatowa taswira gani, hawana uwezo au hawastahiki? kuna haja Katiba mpya, ibaini wazi kuweko uongozi wakupishana, vinginevyo itatowa fikra ya kuwa daima watawala ni Wabara na wavisiwani watawaliwa,
Naomba kutoa hoja!
Naomba kutoa hoja!