Mchana atakuwa anapika Chakula chake na mtoto tu, usafi wa nguo sio kila siku, kudeki ni seburi na vyumba viwili tu, anakula na kulala bure.. familia ni mimi, mke wangu, mtoto na yeye... Kweli hapo kuna kazi ipi ya kulipwa sabini au laki? Tuacheni uzembe WA tz bhana... Kijijini huko watu...