Utajiri wa siri wa mchoma mahindi

Salahan

JF-Expert Member
Sep 10, 2014
2,942
3,606
c9885274c5f532a7e2870521eea787da.jpg

UGUMU WA MAISHA HUANZIA AKILINI MWAKO.

Ebu fikiria Dada anayechoma mahindi maeneo ya Manzese Darajani kuanzia saa 12 jioni mpaka SAA 2 usiku, kwa siku moja anauwezo wa kuchoma mahindi .50. Kila hindi moja ananunua shambani kwa shilingi 100/- Na Anauza kwa sh.600/-

Hiyo ina maana mahindi 50 ananunua kwa shilingi 5000/- akichoma na kuuza anapata sh.30,000/-. Akitoa pesa ya mtaji (5000/- ya mahindi na 1500/- ya mkaa) anabakiwa na sh.23,500/- kwa siku.
af8b3165183b82485f76c4c664fad30f.jpg

Hivyo kwa mwezi huyu mchoma mahindi atakuwa ameingiza kiasi cha sh.705,000/-

Mwalimu mwenye Degree anayeanza kazi analipwa 584,000/- akikatwa kodi pamoja na makato mengene ya mifuko ya jamii anabakiwa na sh.425,000/.

Tofauti ya Mwalimu wa degree na Muuza mahindi ni

Kuwa Mwalimu kanaajiriwa,

muuza mahindi kajiajiri.
4629b3787c92b1fe414bcc6c0e84aaef.jpg

Mwalimu anafanya kazi masaa 9 kwa siku (saa2 asubuh hadi 11jioni)

muuza mahindi anafanya kazi masaa matatu kwa siku (saa 12 jioni hadi 2 usiku).

Mwalimu anatumia muda wake wa ziada kusahihisha mitihani na homework,

mchoma mahindi anatumia muda wake wa ziada kutafuta fursa nyingine za kupata hela zaidi..

UOGA WAKO NDIO UMASKINI WAKO..
 
c9885274c5f532a7e2870521eea787da.jpg

UGUMU WA MAISHA HUANZIA AKILINI MWAKO.

Ebu fikiria Dada anayechoma mahindi maeneo ya Manzese Darajani kuanzia saa 12 jioni mpaka SAA 2 usiku, kwa siku moja anauwezo wa kuchoma mahindi .50. Kila hindi moja ananunua shambani kwa shilingi 100/- Na Anauza kwa sh.600/-

Hiyo ina maana mahindi 50 ananunua kwa shilingi 5000/- akichoma na kuuza anapata sh.30,000/-. Akitoa pesa ya mtaji (5000/- ya mahindi na 1500/- ya mkaa) anabakiwa na sh.23,500/- kwa siku.
af8b3165183b82485f76c4c664fad30f.jpg

Hivyo kwa mwezi huyu mchoma mahindi atakuwa ameingiza kiasi cha sh.705,000/-

Mwalimu mwenye Degree anayeanza kazi analipwa 584,000/- akikatwa kodi pamoja na makato mengene ya mifuko ya jamii anabakiwa na sh.425,000/.

Tofauti ya Mwalimu wa degree na Muuza mahindi ni

Kuwa Mwalimu kanaajiriwa,

muuza mahindi kajiajiri.
4629b3787c92b1fe414bcc6c0e84aaef.jpg

Mwalimu anafanya kazi masaa 9 kwa siku (saa2 asubuh hadi 11jioni)

muuza mahindi anafanya kazi masaa matatu kwa siku (saa 12 jioni hadi 2 usiku).

Mwalimu anatumia muda wake wa ziada kusahihisha mitihani na homework,

mchoma mahindi anatumia muda wake wa ziada kutafuta fursa nyingine za kupata hela zaidi..

UOGA WAKO NDIO UMASKINI WAKO..
Mwl hafanyi shughuli zingine??
Au tuseme mwl ndio anamuuzia huyo mahindi anayolima
 
huenda upo sahihi kwamba mahindi ya kuchoma yana kipato na haswa ukipata gepu zuri lenye wapitanija wengi n.k
Lakini si kweli kwenye gharama za huo mzigo umezishusha sana boss
mahindi bei ya shamba ni 250 - 500 kwa dar
Hiyo bei uliyoitoa ni kwa mikoa kama tabora singida n.k
 
Katika hizi hesabu zako umezingatia siku ambazo dada mchoma mahindi atakua mgonjwa na ashindwe kwenda kibaruani? Au siku za mvua kunyesha na yeye kukosa wateja? Hataka kama mwalimu analipwa 350,000 kwa mwezi, kati ya hawa wawili mwalimu ana uhakika wa maisha.
 
Katika hizi hesabu zako umezingatia siku ambazo dada mchoma mahindi atakua mgonjwa na ashindwe kwenda kibaruani? Au siku za mvua kunyesha na yeye kukosa wateja? Hataka kama mwalimu analipwa 350,000 kwa mwezi, kati ya hawa wawili mwalimu ana uhakika wa maisha.
Iv uhakika wa maisha ni kitu gan??? mbn kama mimi naelewa tofauti kuhusu uhakika wa maisha
 
Tatizo la wengi ndo hilo kuwa kuajiriwa serikalini ni uhakika wa maisha, wakati ni umasikini uliokisiri unaofunikwa shuka la MSHAHARA.... Utumwa wa kuajiriwa ndo umetifikisha hapa.... Mawazo na fikira zimekomaa kutafta kuajiriwa tu... Hebu fikiria miaka 10 tu ijayo wasomi wa kila secta waatkuwa wengi je serikali na taasisi binafsi zitaweza kuwaajiri wote?CHUKUA HATUA MAPEMA YA KUJIAJIRI... Uzi wa mahindi ya kuchoma ni moja ya mfano tu.
Katika hizi hesabu zako umezingatia siku ambazo dada mchoma mahindi atakua mgonjwa na ashindwe kwenda kibaruani? Au siku za mvua kunyesha na yeye kukosa wateja? Hataka kama mwalimu analipwa 350,000 kwa mwezi, kati ya hawa wawili mwalimu ana uhakika wa maisha.
 
Tatizo la wengi ndo hilo kuwa kuajiriwa serikalini ni uhakika wa maisha, wakati ni umasikini uliokisiri unaofunikwa shuka la MSHAHARA.... Utumwa wa kuajiriwa ndo umetifikisha hapa.... Mawazo na fikira zimekomaa kutafta kuajiriwa tu... Hebu fikiria miaka 10 tu ijayo wasomi wa kila secta waatkuwa wengi je serikali na taasisi binafsi zitaweza kuwaajiri wote?CHUKUA HATUA MAPEMA YA KUJIAJIRI... Uzi wa mahindi ya kuchoma ni moja ya mfano tu.
Ni utumwa kutegemea mshahara mkuu, kwanza unapopewa barua ya ajira anza kufikiria maisha yako baada ya kustaafu. Bila hivyo utajikuta umepoteza miaka 25 katika ajira kulipa kodi ya nyumba na kununua chakula.
 
huenda upo sahihi kwamba mahindi ya kuchoma yana kipato na haswa ukipata gepu zuri lenye wapitanija wengi n.k
Lakini si kweli kwenye gharama za huo mzigo umezishusha sana boss
mahindi bei ya shamba ni 250 - 500 kwa dar
Hiyo bei uliyoitoa ni kwa mikoa kama tabora singida n.k
Gharama za usafiri pamoja na risk zingine za kibiashara. Kimahesabu kila kitu ni rahisi lakini kiuhalisia kuna changamoto nyingi.
Hata hivyo,ni wazo zuri
 
Hii nadharia kwenye hii thead inafanana na hii hapa
>> Pitia hapa kijana unaeishi maisha ya kuiga

Mshahara ukitoka,wewe una 350,000 Mfukoni,ila Kijana huyu Mchafu Mchafu anayekula kwa Mahesabu,ambaye sometimes kwa kuona ANA HALI NGUMU huwa unamuachia hata CHENJI imsaidie,Anatengeneza Sh 3000x Magari 30 x Siku 30 =2,700,000(Milioni Mbili na Laki Saba Kwa Mwezi,NON TAXABLE!
 
Katika hizi hesabu zako umezingatia siku ambazo dada mchoma mahindi atakua mgonjwa na ashindwe kwenda kibaruani? Au siku za mvua kunyesha na yeye kukosa wateja? Hataka kama mwalimu analipwa 350,000 kwa mwezi, kati ya hawa wawili mwalimu ana uhakika wa maisha.
Wapi weweeee! Vinginevyo mwalimu angekua na pesa mtaani kuliko mjasiliamali alieanzia biashara ya kuuza mahindi
 
Mwalimu hajazuiwa Kufundisha tuition, wala kuchukua mkopo akafanya biashara, pili hujaconsider kipato zaidi ya mshahara. Tatu Risk zilizopo kwa mchoma mahindi hujazihesabu kwa makini, Gharama halisi za Maisha kwa mchoma mahindi umeziignore.Tulishatoka huko zamani, siku hizi waajiriwa pia ni investors, Leo nilikuwa nafuatilia gawio la hisa zangu za CRDB, pia TCCIA wametoa Waraka wa Matarajio,Ruxa Kusoma na Kuamua.Lakini pia Kama siyo mwoga,Mwajiriwa anaweza Kuingia kwenye Kilimo.Acheni kuwa undervalue waajiriwa wa enzi hizo za Ujamaa, hawa wa Digitali Wako tofauti!!
 
c9885274c5f532a7e2870521eea787da.jpg

UGUMU WA MAISHA HUANZIA AKILINI MWAKO.

Ebu fikiria Dada anayechoma mahindi maeneo ya Manzese Darajani kuanzia saa 12 jioni mpaka SAA 2 usiku, kwa siku moja anauwezo wa kuchoma mahindi .50. Kila hindi moja ananunua shambani kwa shilingi 100/- Na Anauza kwa sh.600/-

Hiyo ina maana mahindi 50 ananunua kwa shilingi 5000/- akichoma na kuuza anapata sh.30,000/-. Akitoa pesa ya mtaji (5000/- ya mahindi na 1500/- ya mkaa) anabakiwa na sh.23,500/- kwa siku.
af8b3165183b82485f76c4c664fad30f.jpg

Hivyo kwa mwezi huyu mchoma mahindi atakuwa ameingiza kiasi cha sh.705,000/-

Mwalimu mwenye Degree anayeanza kazi analipwa 584,000/- akikatwa kodi pamoja na makato mengene ya mifuko ya jamii anabakiwa na sh.425,000/.

Tofauti ya Mwalimu wa degree na Muuza mahindi ni

Kuwa Mwalimu kanaajiriwa,

muuza mahindi kajiajiri.
4629b3787c92b1fe414bcc6c0e84aaef.jpg

Mwalimu anafanya kazi masaa 9 kwa siku (saa2 asubuh hadi 11jioni)

muuza mahindi anafanya kazi masaa matatu kwa siku (saa 12 jioni hadi 2 usiku).

Mwalimu anatumia muda wake wa ziada kusahihisha mitihani na homework,

mchoma mahindi anatumia muda wake wa ziada kutafuta fursa nyingine za kupata hela zaidi..

UOGA WAKO NDIO UMASKINI WAKO..
Hakika
 
Huyo mchoma mhindi hana matumiz ya kila siku? Vip kuhusu family na majukumu ya kawaida katika maisha? Hiyo faida pia si kila siku atapata kama ulivoainisha.
Gharama za usafir kutoka point A had eneo la biashara , Risks za biashara ukumbuke zipo n.k kifupi maisha tungekuwa tunakokotoa kama hivo wengi tungekuwa mbali sana. Ila chunguza maisha ya mchoma mahindi halafu leta mrejesho wa hizo laki 7.
 
ila katika uhalisia mwalimu anaweza kuwa na uhakika wa maisha kidogo tofauti na mchoma mahindi
umeshasema anakatwa kodi means anaweza kupata huduma kama za afya kupitia bima, anaweza kupata mkopo kirahisi ili aanzishe mradi mwingine na pengine akaajiri mtu achome mahindi pia :D:D:D:D
 
Back
Top Bottom