Recent content by Mtumlima

  1. M

    Yaliyojiri Dodoma: Maadhimisho ya miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Aprili 26, 2017

    Hao makomandoo wa nin? au ndo wanalinda muungano.!?
  2. M

    Yajue mambo 9 yaliyofanya Kikwete alitikise Bunge

    JK alikua dhaifu haipingiki lakini JPM anaonekana kua dhaifu zaidi! "kwenye mbio za panya anaeshinda bado ni panya."
  3. M

    Rais Magufuli azidiwa umaarufu na Mh.Tundu Lissu

    namkubali sana! T.A.L (The Learned brother)
  4. M

    Siri ya mtungi aijuaye kata

    Mlamba nyayo!
  5. M

    Anayeamini kuna vita ya kupambana na madawa ya kulevya nampa pole

    me naona jamaa wanataka kupandisha bei ya unga! wanaouza ndo haohao wanaopiga vita. kuna teja mmoja jana kanambia bei imepanda maradufu kutokana na harakati za makonda.
  6. M

    Ukweli wabainika ,Babu Tale ana pesa chafu kuliko Diamond

    Mbishi anakwambia jamaa ni jipu! na ni kweli babu taleNT
  7. M

    Theresa May: US and UK will no longer invade foreign countries 'to remake the world in their own...

    So what! wew mlamba nyayo tu..uyui kuna gap eneza propaganda wakuteue!
  8. M

    Maprodyuza wangu wa muda wote hapa bongo

    Duke ananipagawisha kwa kusuka beat za tamaduni musik..bt na j rider wa tongwe nae mkali
  9. M

    Top five ya wasanii wakali wa Hip Hop Tanzania

    1 nik mbishi 2 stereo 3 one incredible 4 fid q 5 wakazi
  10. M

    Hotuba za John Magufuli vs John Kennedy

    unafananisha marashi na ushuzi(respectively)
  11. M

    Vijana mnaupoteza muda wenu kushabikia siasa mnachotegemea hakitakuwa ng'o, wekezeni sehemu nyingine

    "Sycophant followers" endelea kujipendekeza kwa watawala wakupe shavu! sisi tunapigania mabadiliko ya kisiasa,kiuchumi na kijamii..ata CHADEMA wasipoleta mabadiliko nao tunawapinga! Usiwe mlamba nyayo kisa ajira au pesa ya mda mfupi! Tunataka mfumo ambao wote tutanufaika..
Back
Top Bottom