me naona jamaa wanataka kupandisha bei ya unga! wanaouza ndo haohao wanaopiga vita. kuna teja mmoja jana kanambia bei imepanda maradufu kutokana na harakati za makonda.
"Sycophant followers" endelea kujipendekeza kwa watawala wakupe shavu! sisi tunapigania mabadiliko ya kisiasa,kiuchumi na kijamii..ata CHADEMA wasipoleta mabadiliko nao tunawapinga! Usiwe mlamba nyayo kisa ajira au pesa ya mda mfupi! Tunataka mfumo ambao wote tutanufaika..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.