Kweli kazi mnayo, mnaitana dunia nzima kwa lengo la kushindana kukariri! Afadhali mngekusanyika kushindana kuelewa imani ni kitu gani na ni kweli imani hiyo itawasaidia. Pengine mngekuwa na sababu ya kufanya hivyo. Vinginevyo inaonyesha mnahangaika tu.
Kuna kitabu kimoja cha imani kinatumia jini albadri kudhuru watu. Je, huyu ni mungu ndiye anafanya hivyo? Kama ndivyo mungu wao ana mahusiano na ushilikina?
Waache waendelee na chuo chao. Wenzako wanadhani elimu ya chuo kikuu ni sawa na madrasa. Achana nao unajisumbua bure. kuendelea kuwaambia ni sawa na kupiga ngumi ukutani ambapo utaumiza mkonowe.
Lengo lako hasa nini, unatafuta nini kwa kusema hivyo? saudia inautakatifu gani? Au unataka kushindana na wayahudi kwa umaanisha kuwa waislamu nao wananchi yao takatifu? Kwa nini mnaonekana mnatumia nguvu sana kulinda uislam, nini shida? kweli chema cha jiuza kibaya chajitembeza.
Wewe kinakuuma nini? kumbuka siku zote watoto wa nyumba kubwa ndio warithi na sio watoto mwalabu mjakazi. Tatizo ni ugomvi wa nyumba kubwa teule na nyumba ndogo ya mjakazi aliyepekwa kuishi jangwani.
Kwa hiyo kuisoma albadili ni kulipunga hilo jini albadili kwa maana ya kulituma kwenda huko wanakolituma? kama ndivyo huyo ni mungu wao Alla au shetani?
Tunachosema marufuka kuanzia sasa na milele yote kiongozi wa nchi kutoka pwani. Wao tutawaanzishia mashindano ya taarabu na watatuwakilisha huku kimataifa na bila shaka tutapata medali nyingi za dhahabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.